Uliza_Bei JF-Expert Member Feb 17, 2011 3,216 988 Oct 4, 2012 #1 Hii mbinu ya wadada kuomba lift nimeiona ufaransa......hapa kwetu ikianza wanaume mna maoni gani?
Uliza_Bei JF-Expert Member Feb 17, 2011 3,216 988 Oct 4, 2012 Thread starter #2 Anaomba lift tu.....kama utaleta maneno yako anakuambia uwe na adabu niliomba lift yako tu siyo zaidi
Anaomba lift tu.....kama utaleta maneno yako anakuambia uwe na adabu niliomba lift yako tu siyo zaidi
K kiparah JF-Expert Member Sep 7, 2010 1,173 114 Oct 4, 2012 #3 Don't lie, hii ni kawaida kwa malaya wanaojiuza pale South Africa and Botswana.