Wachaga wapo wa aina nyingi kutokana na dilects mfano wamachame, waorombo, wahanjo wakiwoso n.k je hawa wanatabia gani kwa ujumla ni wapi walio na mafanikio kibiashara kielimu n.k tafadhali naomba minjuze.
wote wanamafanikio kielimu coz wote walimkubali mkoloni na wamisionari.
Kibiashara nadhani wakibosho, warombo na wamarangu ndio sana.0wamachame nadhani bado.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.