stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
leo nimepata nafasi nimezurura huku jukwaani lakini yafuatayo yamenitatizaa;
1. Wanaoandika majina ya wenzao wengine wanawezea lakini wengine mpaka u''reply'' ndo yanatokelezea.
2. Mbona watu wananichanganya kuhusu harusi ya mtoto6 na Chaming....
Naomba mwongozo juu ya hili.
3. Mbona harusi sijui ndo ya hao wanajamvi ina utata na vipingamizi kuliko?????
Naomba kuwasilisha nipewe na majibu tafadhali
1. Wanaoandika majina ya wenzao wengine wanawezea lakini wengine mpaka u''reply'' ndo yanatokelezea.
2. Mbona watu wananichanganya kuhusu harusi ya mtoto6 na Chaming....
Naomba mwongozo juu ya hili.
3. Mbona harusi sijui ndo ya hao wanajamvi ina utata na vipingamizi kuliko?????
Naomba kuwasilisha nipewe na majibu tafadhali