Ivi watu wanao tafuta wachumba apa jf wanafanikiwa, na wanawapata wa dizaini ileile waliokua wanaitaji,au inakuaje kwawalio fanikiwa mpaka wakafunga ndoa ebu tujuzeni.
Kuna aliyefunga ndoa kwa kupata mtu humu? mimi naona matapeli wengi just be careful maana inawezekana ukapata applicaiton nyingi lakini kupata wa kuaminika ni tabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.