vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Hivi viongozi wetu mlio juu, hamjui kama tenda nyingi za serikali wanapewa wale wanaojua kutoa 10% lakini sio kwa watendaji Bora?
Kama mlikua hamjui, naoma kwa leo mlijue hilo na mchukue hatua. Ninajua wengi wenu mnaipata hiyo 10% ndio maana imefumbiwa macho.
mkiweza kumaliza hili mtakua mumeumaliza ufisadi for over 70%.
Kama mlikua hamjui, naoma kwa leo mlijue hilo na mchukue hatua. Ninajua wengi wenu mnaipata hiyo 10% ndio maana imefumbiwa macho.
mkiweza kumaliza hili mtakua mumeumaliza ufisadi for over 70%.