Mh SAMBALA
Member
- May 29, 2011
- 43
- 2
Naomba Kuuliza..
CONCERN FOR THE ELDRLY (COEL)
TANZANIA.
Ni kina nani hasa hawa...?
Leo amefika mgeni Ofisini kwangu toka
NGO ya COEL (DICKSON ISRAEL SWAI)
Kijana huyu anadai kutumwa na NGO hiyo kuja kutoa elimu kwa wananchi wangu.
Juu ya haki ya Vikongwe.
Na pia amekuja na barua ya DC ,RC na
WIZARA inayomtambisha kwetu. Barua kum/ADGB/193/225/01/74 ya tarehe
23/3/2007. Inaliruhusu Shirika hilo kutoa elimu ya
mafunzo mtambuka.
Kwa madarasa ya
MEMKWA. Pia barua kumb Na. DA 25/122/01/
TEMP/19 Iliyotolewa 4 Oct
2011.Inamtambulisha mwezeshaji na
kumruhusu afanye kazi zake kwa jamii.
Na pia OFISI YA DC Kondoa nayo imempa barua Kumb AB. 233/374/01/153 ya tarehe
13. Feb, 2012 ya kumtambulisha.
Maswali ya kujiuliza je kwa nini kila
mwananchi anayehitajiwa kupatiwa elimu
anashurutishwa kulipia kiasi cha 25,000/=..?
Na je Ofisi zilizompa barua ndo wamekubaliana atoze watu kiasi hiki...?
Na pia katika msongo wa uongozi
wanaonyesha kuwa na Viongozi mpaka
ngazi ya
Shina
Kitongoji,
Kijiji, Kata,
Taarafa. Na wameahidi kutoa ajira kwa hao
watakaopatiwa mafunzo.
Je wanauwezo wa fedha kiasi hicho...
Kumudu waajiriwa hawa...?
Na kwa watu wa mwanza tunaomba
mtupe taarifa za kina juu ya hawa COEL
manake wamejitambulisha kuwa na Ofisi
kuu Mwanza.
Na sanduku lao la barua ni 2345 Mwanza.
Tahadhari, mwaka 2008 lilikuja shirika
kama hili TAADE. TANZANIA ADULT EDUCATION.
Hawa baada ya kukusanya fedha za watu waliishia mitini na kwa kondoa walishakusanya zaidi ya mln 30/= Wakiwa na mbinu kama hizi..
Na mpaka leo hakuna anayewajua wako wapi hao TAADE.
NAWAOMBA WANA JF WENYE
KUWAJUA VYEMA WATUELIMISHE NA
KUTJUZA ZAIDI. KARIBUNI KWA MAJADALA.
(chanzo TANURI LA FIKRA)
CONCERN FOR THE ELDRLY (COEL)
TANZANIA.
Ni kina nani hasa hawa...?
Leo amefika mgeni Ofisini kwangu toka
NGO ya COEL (DICKSON ISRAEL SWAI)
Kijana huyu anadai kutumwa na NGO hiyo kuja kutoa elimu kwa wananchi wangu.
Juu ya haki ya Vikongwe.
Na pia amekuja na barua ya DC ,RC na
WIZARA inayomtambisha kwetu. Barua kum/ADGB/193/225/01/74 ya tarehe
23/3/2007. Inaliruhusu Shirika hilo kutoa elimu ya
mafunzo mtambuka.
Kwa madarasa ya
MEMKWA. Pia barua kumb Na. DA 25/122/01/
TEMP/19 Iliyotolewa 4 Oct
2011.Inamtambulisha mwezeshaji na
kumruhusu afanye kazi zake kwa jamii.
Na pia OFISI YA DC Kondoa nayo imempa barua Kumb AB. 233/374/01/153 ya tarehe
13. Feb, 2012 ya kumtambulisha.
Maswali ya kujiuliza je kwa nini kila
mwananchi anayehitajiwa kupatiwa elimu
anashurutishwa kulipia kiasi cha 25,000/=..?
Na je Ofisi zilizompa barua ndo wamekubaliana atoze watu kiasi hiki...?
Na pia katika msongo wa uongozi
wanaonyesha kuwa na Viongozi mpaka
ngazi ya
Shina
Kitongoji,
Kijiji, Kata,
Taarafa. Na wameahidi kutoa ajira kwa hao
watakaopatiwa mafunzo.
Je wanauwezo wa fedha kiasi hicho...
Kumudu waajiriwa hawa...?
Na kwa watu wa mwanza tunaomba
mtupe taarifa za kina juu ya hawa COEL
manake wamejitambulisha kuwa na Ofisi
kuu Mwanza.
Na sanduku lao la barua ni 2345 Mwanza.
Tahadhari, mwaka 2008 lilikuja shirika
kama hili TAADE. TANZANIA ADULT EDUCATION.
Hawa baada ya kukusanya fedha za watu waliishia mitini na kwa kondoa walishakusanya zaidi ya mln 30/= Wakiwa na mbinu kama hizi..
Na mpaka leo hakuna anayewajua wako wapi hao TAADE.
NAWAOMBA WANA JF WENYE
KUWAJUA VYEMA WATUELIMISHE NA
KUTJUZA ZAIDI. KARIBUNI KWA MAJADALA.
(chanzo TANURI LA FIKRA)