payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Wandugu wa JF,
Leo tarehe 02/06/2011 zikiwa zimebaki siku takribani tano kuanza kusoma kwa bajeti ya 2011/2012; nimeamua kwa hiari yangu mwenyewe billa kushawishiwa na mtu yeyote yule, huku nikiwa na akili zangu timamu kuachana na username ya payuka.
Huu ni mkakati wangu kababambe niliouamua katika kuhakikisha nabadilisha mambo mbalimbali katika mfumo wangu wa maisha.
Hivyo basi namuomba invisible au moderator yeyote asaidie ombi langu hapo juu, ningependa waifute kabisa username ya payuka.
Asanteni sana wandugu, tuko pamoja mtaani na tutaendelea kuwa pamoja.
Payuka
Leo tarehe 02/06/2011 zikiwa zimebaki siku takribani tano kuanza kusoma kwa bajeti ya 2011/2012; nimeamua kwa hiari yangu mwenyewe billa kushawishiwa na mtu yeyote yule, huku nikiwa na akili zangu timamu kuachana na username ya payuka.
Huu ni mkakati wangu kababambe niliouamua katika kuhakikisha nabadilisha mambo mbalimbali katika mfumo wangu wa maisha.
Hivyo basi namuomba invisible au moderator yeyote asaidie ombi langu hapo juu, ningependa waifute kabisa username ya payuka.
Asanteni sana wandugu, tuko pamoja mtaani na tutaendelea kuwa pamoja.
Payuka