Naomba kukaribia jamvini waungwana.

BLISS

Member
Mar 31, 2011
54
12
habari zenu waungwana, na mimi pia imenipendeza kuketi jamvini kubadilishana mawili au matatu, nawaombaa mnipokee jamani tujaribu kubanana jamvini.

Asanteni mungu wabariki wote
 
yaan hapa tayari umeshakaribia keti hapo kwenye mkeka. utakunywa kinywaji gani..:ranger:
 
karibu sana mkuu,jamvi hili kubwa sana kwahiyo wala usipate hofu ya kubanwa banwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom