BLISS Member Mar 31, 2011 54 12 Mar 31, 2011 #1 habari zenu waungwana, na mimi pia imenipendeza kuketi jamvini kubadilishana mawili au matatu, nawaombaa mnipokee jamani tujaribu kubanana jamvini. Asanteni mungu wabariki wote
habari zenu waungwana, na mimi pia imenipendeza kuketi jamvini kubadilishana mawili au matatu, nawaombaa mnipokee jamani tujaribu kubanana jamvini. Asanteni mungu wabariki wote
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,026 10,673 Mar 31, 2011 #2 Karibu sana BLISS.....tutakua pamoja.
Vinci JF-Expert Member Jul 6, 2009 2,638 668 Apr 1, 2011 #5 yaan hapa tayari umeshakaribia keti hapo kwenye mkeka. utakunywa kinywaji gani..:ranger:
Vin Diesel JF-Expert Member Mar 1, 2011 9,088 6,368 Apr 2, 2011 #7 karibu sana mkuu,jamvi hili kubwa sana kwahiyo wala usipate hofu ya kubanwa banwa.