Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Nataka naniliu irudi......
You just suprise! A genuine one are not marketable than a used one!
Nataka naniliu irudi......
nashukuru kwa pm zenu, ndo nipo njian nkifika ntachagua 1 ya sehemu mlizontajia. . . wabheja sana mwanawane!
Kwamba kuna mfugo unaingia Tauni kutokea mkoani,, halafu unahitaji kujulishwa viwanja vya kula Bata. Halafu umeweka mkwara kwamba hauhitaji kampani (you know wara'm saying).. Kama uko Tauni Mkuu, Do ze nidful ukale kuku wa kienyeji.
All the Best from TANMO
Basi mimi ndio nazidi kuipenda jf! Huo mfugo utashukia ubungo, JKN, Bandarini au Stesheni ya Mwakyembe?
heri wanajamvi? naomba kujuzwa ni maeneo yepi ya kujidai ukiwa ndani ya bandari salama? nitakuwa huko ths w-end. . . .
plz yawe maeneo mapya hasa yaliyofunguliwa ndani ya mwaka.cos tangu mwaka uanze cjaja kuosha macho huko!
N.B. SIHITAJI KAMPANI TOKA KWA MWANA JAMVI. . . . asanteni!
Mi sio mwanajamvi naruhusiwa kampani?
mh. . . tegeta mbna machale ya naniliu yamencheza. msije mkani-ulimboka bure!