Naomba kujuzwa,kuku 100 wa kisasa wa mayai wanagharimu kiasi gani kufugwa mpaka wanapo anza kutaga

ipyax

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
4,041
6,292
Nataka kuji ingiza katika hii kazi lakini bado nafanya utafiti,kama mtu ana idea ntafurahi sana aki share nami.
 
Nadhani uwe na milioni 2 angalau. Vifaranga tu 220,000 au 230,000.
 
kununua kuku 100x3500 = 350,000
banda weka LA mbao 600,000 kama upo arusha na moshi.
madawa ni pesa kidogo kama elfu 50.
chakula miifuko 2 mwezi wa 1 2x40,000= 80000
mifuko 3 wapili = 120,000
mifuko 4 wa tatu 160,000
mifuko 5 wa nne 200,000
nifuko 6 - 7 wa tano na kuendelea 240,000
kuku mzima anayetaga anakula gram 120 kwa siku
umeme ni kama wati mia ivi weka elfu 12 kila mwezi 12x5 =60,000
usafirishaji wa chakula, plus blablaaaa
Jumla 1,860,000 aliyesema mil2 yuko sahihi kabisa...
then you need to have a source of income 310,000/= kwa ajili ya iyo shughulu. i ni wastani wa pesa unayohitaji kuipata kila mwezi kwa ajili ya mradi huo. ukienda taasisi za mikopo laini kama finca utaipata. kama unayo anza mara moja kwa sababu faida ikianza kutaga ni kati ya sh 1500 had 2000 kwa tray.
sasa kuku mia watataga try 3 kwa siku then kwa mwezi ni tray 90 faida ni kama laki na elf35 ivi kwa mwezi kwa miezi 12 ya kutaga ni 1,620,000 plus kuku utawauza wakishaacha kutaga kwa let say 500,000 pesa yako imerudi. then round ya pili ndio utakula bata tu.
 
kununua kuku 100x3500 = 350,000
banda weka LA mbao 600,000 kama upo arusha na moshi.
madawa ni pesa kidogo kama elfu 50.
chakula miifuko 2 mwezi wa 1 2x40,000= 80000
mifuko 3 wapili = 120,000
mifuko 4 wa tatu 160,000
mifuko 5 wa nne 200,000
nifuko 6 - 7 wa tano na kuendelea 240,000
kuku mzima anayetaga anakula gram 120 kwa siku
umeme ni kama wati mia ivi weka elfu 12 kila mwezi 12x5 =60,000
usafirishaji wa chakula, plus blablaaaa
Jumla 1,860,000 aliyesema mil2 yuko sahihi kabisa...
then you need to have a source of income 310,000/= kwa ajili ya iyo shughulu. i ni wastani wa pesa unayohitaji kuipata kila mwezi kwa ajili ya mradi huo. ukienda taasisi za mikopo laini kama finca utaipata. kama unayo anza mara moja kwa sababu faida ikianza kutaga ni kati ya sh 1500 had 2000 kwa tray.
sasa kuku mia watataga try 3 kwa siku then kwa mwezi ni tray 90 faida ni kama laki na elf35 ivi kwa mwezi kwa miezi 12 ya kutaga ni 1,620,000 plus kuku utawauza wakishaacha kutaga kwa let say 500,000 pesa yako imerudi. then round ya pili ndio utakula bata tu.

uchambuzi wako makini sana hata mie nimefaidika.....
 
kununua kuku 100x3500 = 350,000
banda weka LA mbao 600,000 kama upo arusha na moshi.
madawa ni pesa kidogo kama elfu 50.
chakula miifuko 2 mwezi wa 1 2x40,000= 80000
mifuko 3 wapili = 120,000
mifuko 4 wa tatu 160,000
mifuko 5 wa nne 200,000
nifuko 6 - 7 wa tano na kuendelea 240,000
kuku mzima anayetaga anakula gram 120 kwa siku
umeme ni kama wati mia ivi weka elfu 12 kila mwezi 12x5 =60,000
usafirishaji wa chakula, plus blablaaaa
Jumla 1,860,000 aliyesema mil2 yuko sahihi kabisa...
then you need to have a source of income 310,000/= kwa ajili ya iyo shughulu. i ni wastani wa pesa unayohitaji kuipata kila mwezi kwa ajili ya mradi huo. ukienda taasisi za mikopo laini kama finca utaipata. kama unayo anza mara moja kwa sababu faida ikianza kutaga ni kati ya sh 1500 had 2000 kwa tray.
sasa kuku mia watataga try 3 kwa siku then kwa mwezi ni tray 90 faida ni kama laki na elf35 ivi kwa mwezi kwa miezi 12 ya kutaga ni 1,620,000 plus kuku utawauza wakishaacha kutaga kwa let say 500,000 pesa yako imerudi. then round ya pili ndio utakula bata tu.

asante mkuu utakuwa umesaidia wengi
 
kununua kuku 100x3500 = 350,000
banda weka LA mbao 600,000 kama upo arusha na moshi.
madawa ni pesa kidogo kama elfu 50.
chakula miifuko 2 mwezi wa 1 2x40,000= 80000
mifuko 3 wapili = 120,000
mifuko 4 wa tatu 160,000
mifuko 5 wa nne 200,000
nifuko 6 - 7 wa tano na kuendelea 240,000
kuku mzima anayetaga anakula gram 120 kwa siku
umeme ni kama wati mia ivi weka elfu 12 kila mwezi 12x5 =60,000
usafirishaji wa chakula, plus blablaaaa
Jumla 1,860,000 aliyesema mil2 yuko sahihi kabisa...
then you need to have a source of income 310,000/= kwa ajili ya iyo shughulu. i ni wastani wa pesa unayohitaji kuipata kila mwezi kwa ajili ya mradi huo. ukienda taasisi za mikopo laini kama finca utaipata. kama unayo anza mara moja kwa sababu faida ikianza kutaga ni kati ya sh 1500 had 2000 kwa tray.
sasa kuku mia watataga try 3 kwa siku then kwa mwezi ni tray 90 faida ni kama laki na elf35 ivi kwa mwezi kwa miezi 12 ya kutaga ni 1,620,000 plus kuku utawauza wakishaacha kutaga kwa let say 500,000 pesa yako imerudi. then round ya pili ndio utakula bata tu.
Asante mkuu ANKOJEI . Vipi kwa maeneo ambayo hakuna umeme, biashara hii inawezekana?
 
Last edited by a moderator:
kununua kuku 100x3500 = 350,000
banda weka LA mbao 600,000 kama upo arusha na moshi.
madawa ni pesa kidogo kama elfu 50.
chakula miifuko 2 mwezi wa 1 2x40,000= 80000
mifuko 3 wapili = 120,000
mifuko 4 wa tatu 160,000
mifuko 5 wa nne 200,000
nifuko 6 - 7 wa tano na kuendelea 240,000
kuku mzima anayetaga anakula gram 120 kwa siku
umeme ni kama wati mia ivi weka elfu 12 kila mwezi 12x5 =60,000
usafirishaji wa chakula, plus blablaaaa
Jumla 1,860,000 aliyesema mil2 yuko sahihi kabisa...
then you need to have a source of income 310,000/= kwa ajili ya iyo shughulu. i ni wastani wa pesa unayohitaji kuipata kila mwezi kwa ajili ya mradi huo. ukienda taasisi za mikopo laini kama finca utaipata. kama unayo anza mara moja kwa sababu faida ikianza kutaga ni kati ya sh 1500 had 2000 kwa tray.
sasa kuku mia watataga try 3 kwa siku then kwa mwezi ni tray 90 faida ni kama laki na elf35 ivi kwa mwezi kwa miezi 12 ya kutaga ni 1,620,000 plus kuku utawauza wakishaacha kutaga kwa let say 500,000 pesa yako imerudi. then round ya pili ndio utakula bata tu.

Mkuu hongera inaonekana una uzoefu mzuri na biashara hii maana umedadavua vizuri. Lakini kwasababu conditions za biashara hii sio fixed nami ngoja niongeze kidogo ninachokifahamu. Kwa upande wa production, tray 3 kwa siku maana yake ni mayai 90. Hii ni production ya 90% kwa siku (yaani kuku 90 kati ya mia wametaga). Wakati mwingine unaweza usifike huko kutegemea na namna ulivyowatunza kuku wako kwa aina ya chakula, ufuatiliaji wa ratiba ya chanjo na dawa na umakini katika kugundua magonjwa. Wataalam wanasema katika mazingira duni ya ufugaji kiwango cha juu cha production kinaweza kuwa 80% hadi 85% (yaani mayai 80 hadi 85 kwa siku). vile vile, ni kwa muda gani utaendelea kupata mayai, inategemea na aina ya kuku (breed). Breed nzuri inataga kwa kiwango cha 85% kwa wiki hadi ya 60 (yaani miezi 15) na baada ya hapo kiwango cha kutaga huanza kushuka taratibu (haimaanishi hawatagi, no! wanataga ila kiwango ndo kinashuka jinsi muda unavyozidi kwenda. Ikifika wakati production imekuwa ndogo kuliko gharama za kuwahudumia unaweza ukaamua kuwauza na kukuudishia mtaji. Idadi ya miezi ya kuendelea kupata mayai pia inategemea jinsi ulivyowatunza kuku wako. Ukiwa uliwatunza vizuri kiwango cha kutaga kinaweza kuendelea kuwa juu kwa muda mrefu mara pengine hata zaidi ya miezi 18.
Kwa hesabu ya haraka haraka ya kujua mapato na faida ni kuwa gharama za moja kwa moja (direct cost) kwa wastani ni asilimia 40 ya mapato. Unaweza ukakadiria gharama ambazo sio za moja kwa moja (indirect cost) kati ya 8% na 10% na kinachobaki ni faida. Kwa kiwango cha chini faida ni kama 50% ya mapato.
 
kununua kuku 100x3500 = 350,000
banda weka LA mbao 600,000 kama upo arusha na moshi.
madawa ni pesa kidogo kama elfu 50.
chakula miifuko 2 mwezi wa 1 2x40,000= 80000
mifuko 3 wapili = 120,000
mifuko 4 wa tatu 160,000
mifuko 5 wa nne 200,000
nifuko 6 - 7 wa tano na kuendelea 240,000
kuku mzima anayetaga anakula gram 120 kwa siku
umeme ni kama wati mia ivi weka elfu 12 kila mwezi 12x5 =60,000
usafirishaji wa chakula, plus blablaaaa
Jumla 1,860,000 aliyesema mil2 yuko sahihi kabisa...
then you need to have a source of income 310,000/= kwa ajili ya iyo shughulu. i ni wastani wa pesa unayohitaji kuipata kila mwezi kwa ajili ya mradi huo. ukienda taasisi za mikopo laini kama finca utaipata. kama unayo anza mara moja kwa sababu faida ikianza kutaga ni kati ya sh 1500 had 2000 kwa tray.
sasa kuku mia watataga try 3 kwa siku then kwa mwezi ni tray 90 faida ni kama laki na elf35 ivi kwa mwezi kwa miezi 12 ya kutaga ni 1,620,000 plus kuku utawauza wakishaacha kutaga kwa let say 500,000 pesa yako imerudi. then round ya pili ndio utakula bata tu.

Naunga mkono uchambuzi wako wa kina
 
kununua kuku 100x3500 = 350,000
banda weka LA mbao 600,000 kama upo arusha na moshi.
madawa ni pesa kidogo kama elfu 50.
chakula miifuko 2 mwezi wa 1 2x40,000= 80000
mifuko 3 wapili = 120,000
mifuko 4 wa tatu 160,000
mifuko 5 wa nne 200,000
nifuko 6 - 7 wa tano na kuendelea 240,000
kuku mzima anayetaga anakula gram 120 kwa siku
umeme ni kama wati mia ivi weka elfu 12 kila mwezi 12x5 =60,000
usafirishaji wa chakula, plus blablaaaa
Jumla 1,860,000 aliyesema mil2 yuko sahihi kabisa...
then you need to have a source of income 310,000/= kwa ajili ya iyo shughulu. i ni wastani wa pesa unayohitaji kuipata kila mwezi kwa ajili ya mradi huo. ukienda taasisi za mikopo laini kama finca utaipata. kama unayo anza mara moja kwa sababu faida ikianza kutaga ni kati ya sh 1500 had 2000 kwa tray.
sasa kuku mia watataga try 3 kwa siku then kwa mwezi ni tray 90 faida ni kama laki na elf35 ivi kwa mwezi kwa miezi 12 ya kutaga ni 1,620,000 plus kuku utawauza wakishaacha kutaga kwa let say 500,000 pesa yako imerudi. then round ya pili ndio utakula bata tu.
Uko juu,thanx.nilihitaji sana ushauri wa namna hii.
 
kununua kuku 100x3500 = 350,000
banda weka LA mbao 600,000 kama upo arusha na moshi.
madawa ni pesa kidogo kama elfu 50.
chakula miifuko 2 mwezi wa 1 2x40,000= 80000
mifuko 3 wapili = 120,000
mifuko 4 wa tatu 160,000
mifuko 5 wa nne 200,000
nifuko 6 - 7 wa tano na kuendelea 240,000
kuku mzima anayetaga anakula gram 120 kwa siku
umeme ni kama wati mia ivi weka elfu 12 kila mwezi 12x5 =60,000
usafirishaji wa chakula, plus blablaaaa
Jumla 1,860,000 aliyesema mil2 yuko sahihi kabisa...
then you need to have a source of income 310,000/= kwa ajili ya iyo shughulu. i ni wastani wa pesa unayohitaji kuipata kila mwezi kwa ajili ya mradi huo. ukienda taasisi za mikopo laini kama finca utaipata. kama unayo anza mara moja kwa sababu faida ikianza kutaga ni kati ya sh 1500 had 2000 kwa tray.
sasa kuku mia watataga try 3 kwa siku then kwa mwezi ni tray 90 faida ni kama laki na elf35 ivi kwa mwezi kwa miezi 12 ya kutaga ni 1,620,000 plus kuku utawauza wakishaacha kutaga kwa let say 500,000 pesa yako imerudi. then round ya pili ndio utakula bata tu.

Mkuu hongera inaonekana una uzoefu mzuri na biashara hii maana umedadavua vizuri. Lakini kwasababu conditions za biashara hii sio fixed nami ngoja niongeze kidogo ninachokifahamu. Kwa upande wa production, tray 3 kwa siku maana yake ni mayai 90. Hii ni production ya 90% kwa siku (yaani kuku 90 kati ya mia wametaga). Wakati mwingine unaweza usifike huko kutegemea na namna ulivyowatunza kuku wako kwa aina ya chakula, ufuatiliaji wa ratiba ya chanjo na dawa na umakini katika kugundua magonjwa. Wataalam wanasema katika mazingira duni ya ufugaji kiwango cha juu cha production kinaweza kuwa 80% hadi 85% (yaani mayai 80 hadi 85 kwa siku). vile vile, ni kwa muda gani utaendelea kupata mayai, inategemea na aina ya kuku (breed). Breed nzuri inataga kwa kiwango cha 85% kwa wiki hadi ya 60 (yaani miezi 15) na baada ya hapo kiwango cha kutaga huanza kushuka taratibu (haimaanishi hawatagi, no! wanataga ila kiwango ndo kinashuka jinsi muda unavyozidi kwenda. Ikifika wakati production imekuwa ndogo kuliko gharama za kuwahudumia unaweza ukaamua kuwauza na kukuudishia mtaji. Idadi ya miezi ya kuendelea kupata mayai pia inategemea jinsi ulivyowatunza kuku wako. Ukiwa uliwatunza vizuri kiwango cha kutaga kinaweza kuendelea kuwa juu kwa muda mrefu mara pengine hata zaidi ya miezi 18.
Kwa hesabu ya haraka haraka ya kujua mapato na faida ni kuwa gharama za moja kwa moja (direct cost) kwa wastani ni asilimia 40 ya mapato. Unaweza ukakadiria gharama ambazo sio za moja kwa moja (indirect cost) kati ya 8% na 10% na kinachobaki ni faida. Kwa kiwango cha chini faida ni kama 50% ya mapato.

Naipenda JF...
 
Naona wadau wametoa ufafanuzi mzuri hapo juu.ila kwa kuweka sawa bei ya kifaranga cha mayai ni 2300 kwa sasa (interchick).Na kwa kwa hesabu ya haraka kila kifaranga hutumia wastani wa 12,000 mpaka aanze kutaga(kuanzia mwezi wa 5).
 
Asanteni sana kwa mchango mkubwa wa mawazo,mie nipo mbeya kuna vifaranga vinatoka malawi ambavyo inasemekana ni breed bora kabisa coz huwa havipati magonjwa kirahisi.
 
iyo hesabu ilikuwa ya arusha dar bei zinaweza kuwa chini hata faida inaweza kuwa juu kidogo
Naona wadau wametoa ufafanuzi mzuri hapo juu.ila kwa kuweka sawa bei ya kifaranga cha mayai ni 2300 kwa sasa (interchick).Na kwa kwa hesabu ya haraka kila kifaranga hutumia wastani wa 12,000 mpaka aanze kutaga(kuanzia mwezi wa 5).
 
Mkuu kuhusu aina ya kampuni unayonunulia vifaranga isikupe shida,iwe wa malawi,kenchick,interchick cha msingi ni kufuata kanuni bora za ufugaji.Pia ingekuwa vizuri ukajua gharama pia hutegemeana na mahali ulipo(gharama za chakula,dawa,bei ya mayai hutofautiana).Kuhusu suala la umeme ni kweli unaweza ukafuga kuku wa mayai sehemu isiyo na umeme na wakakua vizuri tu.Kama una swali lingine unaweza uliza.
 
Back
Top Bottom