Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nafanyeje niepukana nae mana hata kwa mganga naona niko razi.
hapa naona umeamua kuni injoi wala huna nia ya kunipa ushauri wa kuweza kujitoa.
yap tena azidi kufikiria mabaya ya huyo jamaa na kidogo kidogo atajenga chuki na ataweza kumuacha.I used it na nimefanikiwa.........Hata kama utaikumbuka namba yake wewe IFUTE.......pia usi'ntertain kuchat nae.......achana na masuala ya kum'text wala kumpigia na akipiga au kutext dont answer......itakusaidia japo itachukua muda
I used it na nimefanikiwa.........Hata kama utaikumbuka namba yake wewe IFUTE.......pia usi'ntertain kuchat nae.......achana na masuala ya kum'text wala kumpigia na akipiga au kutext dont answer......itakusaidia japo itachukua muda
hapa naona umeamua kuni injoi wala huna nia ya kunipa ushauri wa kuweza kujitoa.
if only it was that simple.
kama umalaya wake anaufanyia mbali ila wewe anaendelea kukujali na kukuheshimu we endelea nae tu.ni mzuri sana kwa yoote tatizo ni malaya.
kama umalaya wake anaufanyia mbali ila wewe anaendelea kukujali na kukuheshimu we endelea nae tu.
pole sana mpenzi, huitaji kukosa raha sababu ya mtu. Tatizo unahisi hakuna kama yeye, unahisi yeye ndio kila kitu kwako. Labda unaogopa kuvunja uhusiano kwa sbb flani flani. Ondoa hofu na ufanye hayo maamuzi mazito. Songa mbele, mapenzi hayapo kwa ajili ya kuumizana, kama kipindi chenu cha uzinzi ni mateso na chuki je mkija kuoana itakuwaje?nimevumilia nimechoka sana inanikosesha raha wanawake wake wananisumbua na maradhi ya sasa ndio usiseme nitakufa haraka kama sio kwa presha basi hata ugonjwa wetu huu.
Kwa nini tunapenda? unaona kabisa mtu hakufai lakini unashindwa kumuachia.
pole sana mpenzi, huitaji kukosa raha sababu ya mtu. Tatizo unahisi hakuna kama yeye, unahisi yeye ndio kila kitu kwako. Labda unaogopa kuvunja uhusiano kwa sbb flani flani. Ondoa hofu na ufanye hayo maamuzi mazito. Songa mbele, mapenzi hayapo kwa ajili ya kuumizana, kama kipindi chenu cha uzinzi ni mateso na chuki je mkija kuoana itakuwaje?