Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
....jamani nimeckia kuwa mamlaka ya udhibit wa nishati kuwa wana toa bei elekezi za nishati kila baada ya wiki 2. Nachotaka kujua ni kuwa je gesi asilia ile tunayotumia kupikia huwa wanatoa bei pia? Mama mambo haya nanavyokwenda mi hata celewi tena kwa hii nishati mana kila kukicha bei inaongezeka.