KPClassic
Senior Member
- Aug 12, 2012
- 103
- 27
:baby: Hivi mwalimu anatakiwa akae kazini miaka mingapi ndo apate ruhusa ya kwenda masomoni kujiendeleza?Kwa sababu mimi nina miaka miwili na huu ni wa tatu lakini haujakamilika kazini,nimethibitishwa na nina TSD no tayar,ila naenda halmashauri wananikatalia na nimechaguliwa chuo kimojawapo hapa nchini mwaka huu.:baby: