HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,072
- 1,389
Ni siku ya khasara.Ni siku ya hukumu.Ni siku ya majuto.Ni siku iliyo kuu.Ni siku ya malipo.Ni siku ya hesabu.Ni balaa kubwa.Ni siku ya mkusanyiko.Ni tukio la haki.Ni tukio la uhakika kabisa.Ni siku ufufuo.HIYO NDIO SIKU YA KIAMA.
Ni siku ambayo haitamfaa mtu mali yake wala watoto wake.Ni siku ambayo wanafamilia watakimbiana.Ni siku ambayo washirika watakataana.Ni siku ambayo siri zote zitafichuka.
Ole wao wale wanaokanusha siku hiyo!
Ni siku ambayo haitamfaa mtu mali yake wala watoto wake.Ni siku ambayo wanafamilia watakimbiana.Ni siku ambayo washirika watakataana.Ni siku ambayo siri zote zitafichuka.
Ole wao wale wanaokanusha siku hiyo!