Wadau naomba kwa mtu yeyote mwenye uzoefu na haya mambo anisaidie yafuatayo
1.Utaratibu wa kufuata|+ requirements ili kupata leseni ya kurusha matangazo ktk TV
2.Jinsi ya kufanya ili tv station yako ianze kurushwa kwenye ving'amuzi ka startimes n.k
Waone au waandikie hawa, ndio kazi yao waliopangiwa na Serikali: The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA)