Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,440
- 25,582
Hakika ipi...??Picha ya yesu kwenye kitambaa leta maandiko na kuabudu sanamu leta maandiko ya Bible ni wapi imeonyesha mambo hayo?
Acha kukariri ati mambo yote isingeweza kuandikwa au wewe ndiye unaandika yote yaliyo sazwa umeyapata wapi?
Una Bible tofauti na hii tuliyo nayo?
Huwezi kufahamu kumi bila kuanzia moja ni lazima kufahamu yote ili mlengwa akipewa jibu awe na hakika