King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,578
And then what?....
Tangu lini michango ikawa siri wakuu? Mbona wakati wa kuchangia watoaji wanatamka wazi kila mtu anasikia? Leo iweje ikisha kusanywa ndo iwe siri ya chama? Hapo kutakuwa kunafanyika uchakachuaji.
Waliotoa majibu humu sio wasemaji wa chama,sasa kwa nini muanze kuonyesha gadhabu juu ya chama?
Tangu lini michango ikawa siri wakuu? Mbona wakati wa kuchangia watoaji wanatamka wazi kila mtu anasikia? Leo iweje ikisha kusanywa ndo iwe siri ya chama? Hapo kutakuwa kunafanyika uchakachuaji.
dada zetu wengine wakiwa kwenye period zao wanapoteza network!
We have managed to collect a total of Tshs 200m and thus Magwandraa would like to thank you all for your unmatched generosity. Two-thirds of this money will be allocated for Club Billicanas repairs while the remaining amount will be designated for Mr. Mbowe's private house maintenance and Mrs Mbowe's Easter shoppings. Also be informed the next fundraiser, which has wholly been dedicated to Dr. Slaa's new bungalow construction, is due to take place early April in Dodoma.
afadhali wanaopoteza network na kujitambua kuliko wanaume wanaojaa nyege nakuishiwa kumegwadada zetu wengine wakiwa kwenye period zao wanapoteza network!
another gamba using masaburi for thinking.
We have managed to collect a total of Tshs 200m and thus Magwandraa would like to thank you all for your unmatched generosity. Two-thirds of this money will be allocated for Club Billicanas repairs while the remaining amount will be designated for Mr. Mbowe's private house maintenance and Mrs Mbowe's Easter shoppings. Also be informed the next fundraiser, which has wholly been dedicated to Dr. Slaa's new bungalow construction, is due to take place early April in Dodoma.
Chadema kila kikiendelea kinatutisha, kinatufanya tufikiri mara mbili kuwa chama hiki kinaweza kushika mamlaka na nchi kuwa kwenye amani
chadema kimekuwa ni chama kinachopingana na misingi ya uwazi na demokrasia, nnashangaa sana kuona chama mabacho niliamini kuwa huenda kitatuvusha hapa tulipo, kikiwa na sera za kibabe na kufikicha demokrasia.
nnawaomba wanachadema kuanzia juu hadi chini kuchukua hatua za haraka kurudi kwenye mstari.
nimeshangazwa kuona Ndugu Zitto kabwe alipoamua kutoa mawazo yake, watu wametukana na kumwita kibaraka. hivi hiki si ndio chama ambacho tuliamini kuwa kiko tofauti na CCM ? kuna uhuru wa kujieleza?
kuhusu masuali ya pesa chama makini kinatakiwa kiwe wazi ili kila mtu aamini kweli hiki chama kina uwazi na kina mipango thabiti, na hili litawasaidia kushawishika kukipa kura kuongoza nchi
kinyume chake wananchi mtaendelea kuwatisha na kuamini hiki ni chama hatari na cha kuogopwa