anajishughulisha na nini?
Wewe MTz dam dam.
yah...sasa tutamuota bila kupata details zake.....inawezekana namfahamu ila sijui kama ndio huyo....jamaa atupe details kwanza
Tumuombe ataje hizo details zaidi.
Nami nlitaka kuuliza umri wake& kabila lake...pia dini yake?
mzambia mwenyewe keshakula kona.........
labda alikuwa intenet cafe, muda umeisha
PM me i know his whereaboutsKuna yeyote anayemjua vizuri lusekelo raphael kibona
na anisaidie kuwayupo wapi?