Naomba kujua historia ya Urusi

HITIMISHO: INTRODUCTION TO COLD WAR AND RUSSIAN HISTORY.

Mpaka sasa nimefikia hitimisho ya sehemu ya kwanza kabisa ya historia ya Urusi.
Nimeeleza kwa upana kabisa ili kujenga msingi kwa ajili ya kupanua uelewa mkubwa juu ya vita baridi.
Kwenye bandiko langu la kwanza kuhusiana na historia ya Urusi ambalo ni bandiko #2, katika ukurasa wa kwanza, nimejaribu kuelezea kwa kikifupi mambo muhimu yaliyojiri kwenye vita vya pili vya dunia.
Tukijikumbusha ni kwamba Mataifa yaliyoibuka washindi ni Jamhuri ya Kisovyeti ya Urusi, Jamhuri ya Muungano wa nchi za Kimarekani na Ufalme Mkuu wa Uingereza.

Tokea kipindi hiki hadi mwaka 1956 wataalamu wanasema SUPER POWER alikuwa bado ni Muingereza lakini nchi yenye uchumi mkubwa kwa upande wa nchi za kibepari ilikuwa ni Marekani. Na katika hili Kwenye sehemu za mbele za nitaelezea kiundani zaidi. Mwaka 1945 ndipo Vita Baridi ilianza rasmi na chanzo ni sababu nilizojaribu kuzijenga na kuzielezea kwenye kurasa zilizopita. Kama ambavyo vita ya kwanza ya dunia ilisababishwa na mambo lukuki yaliyotokea kwenye karne ya kumi na tisa, basi vivyo hivyo VITA BARIDI alisababishwa na mambo yaliyotokea kwenye vita vya kwanza na vya pili vya dunia.

Mungu akitujalia tutanza na COLD WAR AND THE NEW WORLD ORDER. Hapa nitaelezea Vita Baridi ilivyoanza na nini hasa maana ya SUPER POWER; BALANCE OF POWER na NEW WORLD ORDER katika lugha za kisayansi ya siasa ili tupate kujua ukweli na tuweze kuwa huru. Pia, nitazungumzia mapinduzi katika uchumi wa dunia, sheria za haki za binadamu, mpangilio wa kijamii na sheria za kimataifa.
Lakini pia nitazungumzia mambo ya kijeshi mathalani mapinduzi ya kiteknolojia za kijeshi, mapinduzi katika nyanja nzima za ujasusi.

Ila kwa kudra za mwenyezi Mungu nitaweza kuzungumzia VITA BARIDI AFRICA hasa jinsi gani vilikuwa na ushawishi mkubwa kwenye siasa za Tanzania na Uchumi wa kijamaa hapa nchini. Tuatapitia baadhi ya vitabu vya kihistoria vya watu mbali mbali ili tuweze kuakisi mambo yalijificha kwa muda mrefu.
Niwashukuru sana ndugu zangu wote mliokuwa mkinisoma kwa utulivu mzuri, uvumilivu na subira nyingi japo majukumu yanakuwa yanabana na naweza kupotea kwa kitambo kidogo.
Kama mlivyonivumilia hapo juu basi naomba mnivumilie na sasa ninapoenda kuandika kuhusu vita baridi: Na kwa kipindi hiki nitajitahidi siku isipite bila kuleta hata bango la vimaneno hata 500 tu.

Popote mtakapoona nimekosea naomba msisite kunirekebisha kwasababu wote tupo hapa kwa ajili ya kujifunza, na hata mimi mtoa mada hii najifunza na nategemea sana uwepo wenu ninyi wasomaji hapa.
Natanguliza shukrani zangu zote.
Mbarikiwe sana na Alamsik.

CC: Gide MK , pyramid , Kabaunyeri , mtembea kwa miguu , born again pagan , MALCOM LUMUMBA , Washawasha , WhySoSerious , semper saratoga , MeinKempf , kilamuruzi , jay-millions , Bayyo
ubarikiwe sana mkuu
 
HITIMISHO: INTRODUCTION TO COLD WAR AND RUSSIAN HISTORY.

Mpaka sasa nimefikia hitimisho ya sehemu ya kwanza kabisa ya historia ya Urusi.
Nimeeleza kwa upana kabisa ili kujenga msingi kwa ajili ya kupanua uelewa mkubwa juu ya vita baridi.
Kwenye bandiko langu la kwanza kuhusiana na historia ya Urusi ambalo ni bandiko #2, katika ukurasa wa kwanza, nimejaribu kuelezea kwa kikifupi mambo muhimu yaliyojiri kwenye vita vya pili vya dunia.
Tukijikumbusha ni kwamba Mataifa yaliyoibuka washindi ni Jamhuri ya Kisovyeti ya Urusi, Jamhuri ya Muungano wa nchi za Kimarekani na Ufalme Mkuu wa Uingereza.

Tokea kipindi hiki hadi mwaka 1956 wataalamu wanasema SUPER POWER alikuwa bado ni Muingereza lakini nchi yenye uchumi mkubwa kwa upande wa nchi za kibepari ilikuwa ni Marekani. Na katika hili Kwenye sehemu za mbele za nitaelezea kiundani zaidi. Mwaka 1945 ndipo Vita Baridi ilianza rasmi na chanzo ni sababu nilizojaribu kuzijenga na kuzielezea kwenye kurasa zilizopita. Kama ambavyo vita ya kwanza ya dunia ilisababishwa na mambo lukuki yaliyotokea kwenye karne ya kumi na tisa, basi vivyo hivyo VITA BARIDI alisababishwa na mambo yaliyotokea kwenye vita vya kwanza na vya pili vya dunia.

Mungu akitujalia tutanza na COLD WAR AND THE NEW WORLD ORDER. Hapa nitaelezea Vita Baridi ilivyoanza na nini hasa maana ya SUPER POWER; BALANCE OF POWER na NEW WORLD ORDER katika lugha za kisayansi ya siasa ili tupate kujua ukweli na tuweze kuwa huru. Pia, nitazungumzia mapinduzi katika uchumi wa dunia, sheria za haki za binadamu, mpangilio wa kijamii na sheria za kimataifa.
Lakini pia nitazungumzia mambo ya kijeshi mathalani mapinduzi ya kiteknolojia za kijeshi, mapinduzi katika nyanja nzima za ujasusi.

Ila kwa kudra za mwenyezi Mungu nitaweza kuzungumzia VITA BARIDI AFRICA hasa jinsi gani vilikuwa na ushawishi mkubwa kwenye siasa za Tanzania na Uchumi wa kijamaa hapa nchini. Tuatapitia baadhi ya vitabu vya kihistoria vya watu mbali mbali ili tuweze kuakisi mambo yalijificha kwa muda mrefu.
Niwashukuru sana ndugu zangu wote mliokuwa mkinisoma kwa utulivu mzuri, uvumilivu na subira nyingi japo majukumu yanakuwa yanabana na naweza kupotea kwa kitambo kidogo.
Kama mlivyonivumilia hapo juu basi naomba mnivumilie na sasa ninapoenda kuandika kuhusu vita baridi: Na kwa kipindi hiki nitajitahidi siku isipite bila kuleta hata bango la vimaneno hata 500 tu.

Popote mtakapoona nimekosea naomba msisite kunirekebisha kwasababu wote tupo hapa kwa ajili ya kujifunza, na hata mimi mtoa mada hii najifunza na nategemea sana uwepo wenu ninyi wasomaji hapa.
Natanguliza shukrani zangu zote.
Mbarikiwe sana na Alamsik.

CC: Gide MK , pyramid , Kabaunyeri , mtembea kwa miguu , born again pagan , MALCOM LUMUMBA , Washawasha , WhySoSerious , semper saratoga , MeinKempf , kilamuruzi , jay-millions , Bayyo
Asante mkuu kwa nondo zilizoshiba
 
Tuweke mambo sawa USSR imeanzishwa after WW2, pili huwezi kuzungumzia kukuwa kiuchumi, kisiasa, kijeshi nchi ya urusi bila kugusa THE GREAT LEAP FOWARD, 5YDP, WARSAWPACT CONVETION kama military response dhidi ya NATO, CEMENCON policy yaani mkakati wa uchumi kwa nchi za kikomunisti dhidi ya Marshal Plan....bila kuyazungumzia kwa upana haya historia ya Urusi utakua umemega kidogo
 
Tukumbuke pia 1922 Dec wazo la kutengeneza Russia confederation ndo lilianza nchi kama Ukraine na Berarussia zikiwa mstari wa mbele ila kukamilika mpango huo nakua na USSR kamili ni baada ya WW2.. Pia kijeshi shirika la Upererezi KGB limefanya kazi ya ziada kuiweka Russia juu ingawa kwa sasa mshindani wake kamzidi kwa kiasi flani
 
TANGANYIKA NI YETU SOTE
Yenu peke yenu. Nchi haichangwanyi kama chumvi na supu
 
Mkuu the Emperor ubarikiwe sana, nmekufuatilia mwanzo mwisho, umemwaga darasa bila ada....
Nasubiri mwendelezo.
Heshima kwako mkuu.
 
Mkuu the Emperor ubarikiwe sana, nmekufuatilia mwanzo mwisho, umemwaga darasa bila ada....
Nasubiri mwendelezo.
Heshima kwako mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom