MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Ebana upo vizuri sana mkuu..umetisha mbaya..au wewe usalama wa taifa nini mana upo more than deep
Aisee!!
Ebana upo vizuri sana mkuu..umetisha mbaya..au wewe usalama wa taifa nini mana upo more than deep
Ebana upo vizuri sana mkuu..umetisha mbaya..au wewe usalama wa taifa nini mana upo more than deep
Ebana upo vizuri sana mkuu..umetisha mbaya..au wewe usalama wa taifa nini mana upo more than deep
Ebana upo vizuri sana mkuu..umetisha mbaya..au wewe usalama wa taifa nini mana upo more than deep
Ebana upo vizuri sana mkuu..umetisha mbaya..au wewe usalama wa taifa nini mana upo more than deep
Jitahidi mkuu tunakutegemea sanamtembea kwa miguu , jay-millions
Majukumu tu wakuu,
Lakini baadae nikipata nafasi tunaweza kuendelea.
Habari mkuu,Ndugu yangu nashukuru sana. Lakini haiitaji kuwa usalama wa taifa kuyajua haya mambo.
Hata wewe ukiamua unaweza kuyajua, tena hata zaidi yangu.
Hiyo rahisi sana hata kagame anawafyeka wabaya wake waliokimbilia South Africa ni kudukua mawasiliano yao tu unawapata kiulainiHabari mkuu,
Kuna swala huwa najiuliza sana ila sipati jibu nafikiri unaweza kuniambia au yeyote anaweza kunielimisha japo kuna tofauti kidogo na mada hii.
Ni hivi wanausalama kama CIA,KGB,MOSSAD na vyombo vingine kama hivyo wanatumia njia gani za kiupepelezi ili kuweza kumpata mtu(hasa nao wanakuwa ni wanausalama kama wakina Snowden au yule aliyeuwawa na wanaodhaniwa ni KGB kule U.K) aliyekimbia nchi yake na kwenda kwingine hivyo kudhaniwa kuvujisha siri,mfano mwanausalama anatoroka Tanzania na kukimbilia let say USA,ile ni nchi kubwa sana,je wanajuaje alipo wakati mtu wa kawaida kumtafuta mtu kwenye mji mdogo tu bila ya kukutana accidentally njiani basi ndo humpati.
Ukumbuke wanalijua hilo na wanaweza wasiwe na mawsiliano ya Internet au wakabadilisha kabisa Id zao.Pia,umetoka Tanzania mfano,umeenda Belgium let say,hapo utatumia number tofauti na huna mawasiliano na ndugu zako,hapo wanajuaje.Hiyo rahisi sana hata kagame anawafyeka wabaya wake waliokimbilia South Africa ni kudukua mawasiliano yao tu unawapata kiulaini
Katika uchumi nguvu za kijeshi na ushawishi wake katika dunia Hii
We mujamaa uko nondo..
Tunasubiri murndelezo mkuu