Naomba faida ya kitunguu swaumu kibichi na asali mbichi

Eliezar Mlwafu

JF-Expert Member
Jan 27, 2013
449
141
Naomba kujua faida ya kitunguu swaumukibichi na asali mbichi.

Sent from my BlackBerry 9780{katefar}
 
Sent from my BlackBerry 9780{katefar}
Mkuu eliezar mlwafu Asali na kitunguu saumu vinatibu maradhi mengi tu inategemea wewe unataka kutumia kwa njia gani?

KITUNGUU SAUMU (GARLIC)• Hupambana na maambukizi• Ina kemikali zenye uwezo wa kudhibiti saratani• Hufanya damu kuwa nyepesi• Hupunguza shinikizo la damu na kolestro• Huamsha mfumo wa kinga ya mwili• Huzuia na kutoa ahueni kwa kikohozi kilaini.• Huweza kutumika kama dawa ya kifua

ASALI (HONEY)
• Huua vijidudu (bacteria)
• Huondoa wadudu kwenye vidonda na malengelenge
• Huondoa dalili za maumivu
• Hutoa ahueni kwa wagonjwa wa pumu
• Hutuliza maumivu ya vidonda vya koo
• Hutuliza mishipa ya damu, humpatia mtu usingizi
• Hutoa ahueni kwa mtu anayeharisha
 
Last edited by a moderator:
Kwakweli Mzee wangu Mzizi kavu, Mungu akubariki sana,tena akupe maisha marefu, amani sana kujua vitu vinavyo weza kuimarisha afya yangu

Sent from my BlackBerry 9780{katefar}
 
Kiongozi stany mzalendo tafadhali tuwekee hiyo link hapa, kuna siku niliiona sasa natafuta kwa sasa siioni. Ilikuwa inahusu kitunguu swaumu kutibu Fangasi.

Dawa kiboko ya minyoo na fungus sugu (home made)

Habari zenu wadau.Nimeona nitoe elimu hii hapa kwa sababu ni watu wengi sana wanaosumbuliwa na minyoo na fungus sugu kila maeneo kuanzia miguuni mpaka sehemu nyeti!Hii imekuwa kero sana.Haijalishi umezunguka hospitali ngapi bila kupata nafuu.Cha kufanya ni:-

Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.

Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika)

Ukishakaa kama dk 15 hali yako itarudi kawaida.Baada ya SIKU 1,utaona minyoo hakuna tena na fungus wote wamekauka!Kwisha kabisa!!!!

Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha!

Msisite kuja kutoa ushuhuda wenu hapa wakuu.Ni hayo tu
 
Last edited by a moderator:
Kwa upande wafagus mwamini dr mm nishatumia mpaka sasa cna tena fungus,so jaribu uone kwa kufuata masharti ya dr

Sent from my BlackBerry 9780{katefar}
 
[h=2]Dawa kiboko ya minyoo na fungus sugu (home made)!![/h]
Habari zenu wadau.Nimeona nitoe elimu hii hapa kwa sababu ni watu wengi sana wanaosumbuliwa na minyoo na fungus sugu kila maeneo kuanzia miguuni mpaka sehemu nyeti!Hii imekuwa kero sana.Haijalishi umezunguka hospitali ngapi bila kupata nafuu.Cha kufanya ni:-

Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.
Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika)

Ukishakaa kama dk 15 hali yako itarudi kawaida.Baada ya SIKU 1,utaona minyoo hakuna tena na fungus wote wamekauka!Kwisha kabisa!!!!

Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha!

Msisite kuja kutoa ushuhuda wenu hapa wakuu.Ni hayo tu Bandabichi
chanzo. https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/346213-dawa-kiboko-ya-minyoo-na-fungus-sugu-home-made.html

Asante sana DR. MziziMkavu

Naomba unifafanulie maswali yafuatayo/-

1. Dose yake ipoje kwa mtu mzima na mtoto?

2. Je mtu mwenye vidonda vya tumbo anaweza kuitumia tiba hii?

3. Niliwahi kutumia vitunguu swaumu nikapata shida ya harufu mdomoni, pia nikisweat jasho linatoa harufu na hata nikikojoa pia. Ninawezaje kuzuia hizi harufu ama kupunguza?

Asante.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza niulize unaongelea kitunguu kipi? maana kuna vitunguu vingi

1. Kitunguu = mmea
2. kitunguu = papuchi
 
Asante sana DR. MziziMkavu

Naomba unifafanulie maswali yafuatayo/-

1. Dose yake ipoje kwa mtu mzima na mtoto?

2. Je mtu mwenye vidonda vya tumbo anaweza kuitumia tiba hii?

3. Niliwahi kutumia vitunguu swaumu nikapata shida ya harufu mdomoni, pia nikisweat jasho linatoa harufu na hata nikikojoa pia. Ninawezaje kuzuia hizi harufu ama kupunguza?

Asante.
Mkuu Nyakwaratony mtoto mwenye vidonda vya tumbo hawezi kutumia hiyo dozi. mtoto mwenye vidonda vya tumbo mpe maji ya uvuguvugu kila siku asubuhi glasi moja na kabla ya kunywa chai mpe tena maji ya

uvuguvugu glasi moja na kisha mchana kabla ya kula chakula mpe tena glasi moja maji ya uvuguvugu kisha akae saa moja ndio ale chakula cha mchana na usiku kabla ya kula chakula cha usiku mpe tena maji ya uvuguvugu glasi moja kisha

akae baada ya saa moja ndio ale chakula na kila akiwa anataka maji ya kunywa uwe unampa maji ya uvuguvugu fanya hivyo kwa muda wa miezi 3 atapona hivyo vidonda vya tumbo. na wewe kila unapokula vitunguu saumu kisha unywe maji mengi yanaondowa harufu ya kitunguu saumu.
 
Mkuu Nyakwaratony mtoto mwenye vidonda vya tumbo hawezi kutumia hiyo dozi. mtoto mwenye vidonda vya tumbo mpe maji ya uvuguvugu kila siku asubuhi glasi moja na kabla ya kunywa chai mpe tena maji ya

uvuguvugu glasi moja na kisha mchana kabla ya kula chakula mpe tena glasi moja maji ya uvuguvugu kisha akae saa moja ndio ale chakula cha mchana na usiku kabla ya kula chakula cha usiku mpe tena maji ya uvuguvugu glasi moja kisha

akae baada ya saa moja ndio ale chakula na kila akiwa anataka maji ya kunywa uwe unampa maji ya uvuguvugu fanya hivyo kwa muda wa miezi 3 atapona hivyo vidonda vya tumbo. na wewe kila unapokula vitunguu saumu kisha unywe maji mengi yanaondowa harufu ya kitunguu saumu.

Samahani mkuu sijui mie ndo nimeshindwa kujieleza ama wewe umesoma kwa haraka?

Swali la kwanza nilitaka kujua kama mtoto wa miaka 10 anaweza kutumia kitunguu swaumu kama dawa ya minyoo na anatumia kwa kipimo gani na kwa muda gani?? Pia mtu mzima atumie kwa muda gani kitunguu swaumu ili atibu fungus?

Swali la pili namaanisha mtu mzima mwenye vidonda vya tumbo anaweza kutumia vitunguu swaumu?
 
Asante sana DR. MziziMkavu

Naomba unifafanulie maswali yafuatayo/-

1. Dose yake ipoje kwa mtu mzima na mtoto?

2. Je mtu mwenye vidonda vya tumbo anaweza kuitumia tiba hii?

3. Niliwahi kutumia vitunguu swaumu nikapata shida ya harufu mdomoni, pia nikisweat jasho linatoa harufu na hata nikikojoa pia. Ninawezaje kuzuia hizi harufu ama kupunguza?

Asante.


Hapa namba 3 blue naomba nimsaidie MziziMkavu
kwamba hata wale wenye matatizo ya harufu mbaya mdomoni hii nayo itawasaidia
chukua Asali kijiko 1 cha chakula
chukua na Mdalasini kijiko1 cha chakula
changanya vyote kwa pamoja Ratio ikiwa sawa na uuache mchanganyiko wako kwa mda kama nusu saa hivi sio mbaya kama ikizidi

sasa basi wakati umeshakula chakula cha jioni na umeshapumzika unajiandaa kulala kula(vizur kama ukiswaki) mchanganyiko wako nenda kalale, na asubuh ukiamka kinga mkono wako mdomon toa hewa nusa kama utaona harufu yoyote hamna yaani hapa Harufuless
kama vile usivyoijua harufu wala rangi ya Maji!! Hii ni kweli kabisa yeyote mwenye harufu mbaya mdomoni haihitaji wiki 2 kesho tu lete Feedback!

Na pia hapahapa ni faida pia ya dawa vidonda vya tumbo Kuna uzi humu Jf dr. Ulikuwa unazungumzia Urine therapy ni mda kidogo kuna mchangiaji mmoja alisema kuwa mchanganyiko huu asali na m/sini unatibu vdonda vya tumbo kuanzia ktk mzizi wa tatzo. Sema siwez tu kuunganisha topics ningefanya hivyo watu wapate uelewa zaid!
Is it true? Jibu ni kweli miezi 2 iliyopita nilinunua mdalasini 1/4 robo wakanipa ya Moro lkn sikuipenda nikampa mzee wangu babamzaz ambaye anasumbuliwa na v/tumbo akawa anaitumia kama majani ya chai kila anapojsikia kunywa chai asali badala ya sukari hata usiku kabla ya kulala anatumia (akanogewa na radha pasipokujua kuwa anajitibu) jana Bi mkubwa ananiambia ''baba yenu tangu aanze kutumia ule ulioleta mpaka leo miez 2 hajaongea kitu''

kitu kingine kuhusu kitunguuswaumu kiukweli hii ni dawa kubwa sana katk mwili wa mwanadamu lkn kero inayowashinda watu ni harufu ikifika asubuh au baada ya kula!

Naiheshimu tibambadala/vyakula asilia n.k bila ya hivyo nisingekuwa na mama wala baba mapaka leo hii, kitunguuswaumu kilisaidia siku mama alipokuwa amelala plesha ipo jasho lina mtoka na anahangaika ndg za wanamwangalia lakufanya hawana
 
Last edited by a moderator:
Asante gody, ninazungumzia harufu ya kitunguu swaumu baada ya kikula. Yaan nikitumia kitunguu swaumu ndio mdomo unanuka vitunguu, nikitumia vitunguu swaumu ninapokwenda kukojoa mkojo hunuka vituunguu swaumu na nikisweat jasho hutoa harufu ya vitunguu swaumu. Sio kwamba kichwa changu ndio kina harufu la hasha!
 
Last edited by a moderator:
Asante gody, ninazungumzia harufu ya kitunguu swaumu baada ya kikula. Yaan nikitumia kitunguu swaumu ndio mdomo unanuka vitunguu, nikitumia vitunguu swaumu ninapokwenda kukojoa mkojo hunuka vituunguu swaumu na nikisweat jasho hutoa harufu ya vitunguu swaumu. Sio kwamba kinywa changu ndio kina harufu la hasha!


Hapo blue siku maanisha kuwa
wewe ndo mwenye haruf mbaya ila nilisema hata wale wenye harufu mbaya mdomoni hii itawasaidia 7bu watu huwa wanakimbilia kuswaki lkn harufu haitoki mdomon inaanzia tumboni huko!!!

Labda naomba niulize swali hiyo harufu ya vitunguu swaumu unayoitoa mdomoni ni nzuri au mbaya????????
Jib hapa nikujibu pia!
 
Last edited by a moderator:
Nimeyapata vyema maelezo ya garlic na minyoo. Nikisha twanga kimoja na kuchanganya na maji kijiko kimoja, je ntafanya hivyo kwa mfululizo wa siku ngapi?
 
[h=2]Dawa kiboko ya minyoo na fungus sugu (home made)!![/h]
Habari zenu wadau.Nimeona nitoe elimu hii hapa kwa sababu ni watu wengi sana wanaosumbuliwa na minyoo na fungus sugu kila maeneo kuanzia miguuni mpaka sehemu nyeti!Hii imekuwa kero sana.Haijalishi umezunguka hospitali ngapi bila kupata nafuu.Cha kufanya ni:-​

Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.

Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika)

Ukishakaa kama dk 15 hali yako itarudi kawaida.Baada ya SIKU 1,utaona minyoo hakuna tena na fungus wote wamekauka!Kwisha kabisa!!!!

Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha!

Msisite kuja kutoa ushuhuda wenu hapa wakuu.Ni hayo tu Bandabichi


asannte mkuu!vipi kuhusu gonorea inaweza tibu pia/magonjwa yatokanayo na ngono zembe?mfano gono?
 
Last edited by a moderator:
asannte mkuu!vipi kuhusu gonorea inaweza tibu pia/magonjwa yatokanayo na ngono zembe?mfano gono?
Dawa ya Kienyeji ya Kisonono ya Tiba Mbadala Apate Mizizi ya Mvule na Mizizi ya Mbono uchemshe kwenye maji unywe kutwa mara 3 kwa muda wa wiki 1 inshallah atapona
 
Samahani mkuu sijui mie ndo nimeshindwa kujieleza ama wewe umesoma kwa haraka?

Swali la kwanza nilitaka kujua kama mtoto wa miaka 10 anaweza kutumia kitunguu swaumu kama dawa ya minyoo na anatumia kwa kipimo gani na kwa muda gani?? Pia mtu mzima atumie kwa muda gani kitunguu swaumu ili atibu fungus?

Swali la pili namaanisha mtu mzima mwenye vidonda vya tumbo anaweza kutumia vitunguu swaumu?
Kwa mtoto wa miaka 10 anaweza kutumia kitunguu saumu kama Dawa unampa nusu ya kitunguu saumu sio chote kizima. Na kuhusu kukata harufu ya kitunguu Saumu unafanya hivi: kula hiliki au kula karafuu au kula tangawizi mbichi itasaidia kukata harufu ya kitunguu saumu. aU Pia kunywa maziwa au kunywa maji mengi harufu ya kitunguu saumu itakatika.
 
Back
Top Bottom