kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
nimei install lakini jinsi ya kuitumia ndo inanishinda maana ya mwanza nilikua niki play video inakuja na option ya ku download lakini hii ya sasa haina hiyo option sa ninapata shida na kushindwa ku download videoz,tafadhali waungwana naomba mnisaidie hili tatizo,natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu