KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 841
- 175
Rejea kichwa cha habari hapo juu,naomba mnisaidie kufahamu hivi sasa Tanzania kuna mikoa mingapi?Nauliza hivyo kwasababu niajuavyo mimi kuna mikoa 25;lakini kuna jamaa yangu mmoja kaniambia imeongezeka kufikia 27 hadi hivi sasa.
Kama ni hivyo naomba mnisaidie hii mikoa iliyoongezeka ni ipi?
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wanajamii wote popote walipo.
Kama ni hivyo naomba mnisaidie hii mikoa iliyoongezeka ni ipi?
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wanajamii wote popote walipo.