Naomba kufahamishwa

mhalisi

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
1,181
320
naomba kujua maneno haya kwa kiengereza yanaitwaje:

1: Mvi za kwenye nywele

2: Kitambi

3: Kinyesi

4: Ugali

5: Sambusa
 
Nina ushauri natoa hapa. Ningependa nishauri kwamba ni vizuri kwa Mwanjamvi kuleta suala ambalo limemtatiza na hata pale alipojaribu kudurusu hapa na pale bado hajapata msaada. Kwa hiyo nimuombe Mhalisi aende akarejee Kamusi atafute tafsiri ya maneno aliyouliza. Akishindwa kupata msaada arudi hapa jamvini hima!
 
Nina ushauri natoa hapa. Ningependa nishauri kwamba ni vizuri kwa Mwanjamvi kuleta suala ambalo limemtatiza na hata pale alipojaribu kudurusu hapa na pale bado hajapata msaada. Kwa hiyo nimuombe Mhalisi aende akarejee Kamusi atafute tafsiri ya maneno aliyouliza. Akishindwa kupata msaada arudi hapa jamvini hima!
nimeshindwa kupata msaada mahala popote ndo maana nikaja jamvini.
 
Kitambi - tazama kwenye kamusi neno 'belly'

Kinyesi -
tazama kwenye kamusi maneno 'dung' na 'feases'

Ugali -
tazama kwenye kamusi maneno 'stifle porridge' lakini pia huitwa 'ugali' (soma yugali)

Sambusa - tazama kwenye kamusi neno 'samosa'

Lakini nikutahadharishe kwamba majina yahusianayo na vyakula ni vigumu kupata tafsiri ya moja kwa moja hasa kama chakula hicho hakitumiwi kabisa na wanalugha hiyo inayotoa tafsiri. Mavazi na chakula ni sehemu ya utamaduni wa jamii hivyo kama hakuna muasala wa moja kwa moja baina ya jamii mbili si rahisi kukuta jaina la vazi au chakula fulani kwenye lugha hiyo.

Hivyo ndivyo nilivyoweza kuchangia, na ninawasilisha!
 
Kitambi - tazama kwenye kamusi neno 'belly'

Kinyesi -
tazama kwenye kamusi maneno 'dung' na 'feases'

Ugali -
tazama kwenye kamusi maneno 'stifle porridge' lakini pia huitwa 'ugali' (soma yugali)

Sambusa - tazama kwenye kamusi neno 'samosa'

Lakini nikutahadharishe kwamba majina yahusianayo na vyakula ni vigumu kupata tafsiri ya moja kwa moja hasa kama chakula hicho hakitumiwi kabisa na wanalugha hiyo inayotoa tafsiri. Mavazi na chakula ni sehemu ya utamaduni wa jamii hivyo kama hakuna muasala wa moja kwa moja baina ya jamii mbili si rahisi kukuta jaina la vazi au chakula fulani kwenye lugha hiyo.

Hivyo ndivyo nilivyoweza kuchangia, na ninawasilisha!
nakushukuru sana ndugu kwa kunisaidia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom