Naomba kuelimishwa kuhusu Idara zinazojitegemea za serikali...!

Papa Mopao

JF-Expert Member
Oct 7, 2009
4,105
2,499
Hizi idara sifa zake ni zipi? Naomba na mifano ya idara zinazojitegemea za serikali.

Nitashukuru sana kuelimishwa.
 
Govt Agency zote, including executive Agency eg, TRA, BoT, Summatra, Ewura etc!
 
Ni Idara ambazo haziwajibiki moja kwa moja kwenye wizara. Mfano: Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC), Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa, Takukuru, Ofisi ya Ukaguzi (NAO), Mahakama, Tume ya utumishi wa umma, Ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali n.k
 
Back
Top Bottom