Skillseeker
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 225
- 34
- Thread starter
- #21
Ninaface matatizo mawili..la kwanza ni jinsi ya kupata hizo data..na kama nikishindwa tatizo linalokuja ni jinsi ya kuitoa hii software na kuirudisha..kabla hujaiunstall inauliza password pia..hapo ndo kimbembe