Naomba kuelimishwa kuhusu "BRUTE FORCE"

Skillseeker

JF-Expert Member
Jan 30, 2012
225
34
Hivi karibuni nimesahau password yangu ya application inayoitwa folder lock. mpaka sasa nimeshindwa jinsi ya kureset password ili niweze kurecover my files..niliwahi sikia njia inaitwa brute force ambayo hutumika katika kungundua passwords hasa kama password ni fupi..password yangu nauhakika haikuzidi 16 characters.

Naomba mtu anielimisha niweze kujua jinsi ya kutumia hii brute force au kama kuna njia nyingine ambayo ni rahisi kwa kutumia software nyingine basi anitaarifu...
 
brute force inafanya kazi kwa kuguess password. Inajaribu kila password katika username yako. Kwa dakika 1 inaweza jaribu hata password 100 na zaidi tegemea na the way ilivoprogramiwa.

Kwa folder lock lazma iwe ni software imeprogramiwa maalum kwa hio folder lock yako. Na charachter hata 8 tu inaweza chukua zaidi ya siku (kama umesoma probabiliy tunga neno la maneno 8 calculate).

hebu ntajie jina la hio software naweza bahatisha google uchakachuo wake
 
brute force inafanya kazi kwa kuguess password. Inajaribu kila password katika username yako. Kwa dakika 1 inaweza jaribu hata password 100 na zaidi tegemea na the way ilivoprogramiwa.

Kwa folder lock lazma iwe ni software imeprogramiwa maalum kwa hio folder lock yako. Na charachter hata 8 tu inaweza chukua zaidi ya siku (kama umesoma probabiliy tunga neno la maneno 8 calculate).

hebu ntajie jina la hio software naweza bahatisha google uchakachuo wake

unatisha sana mkuu.
 
charachter hata 8 tu inaweza chukua zaidi ya siku (kama umesoma probabiliy tunga neno la maneno 8 calculate).

hapo ni kama haujaunganisha numerals and letters, then

urefu wa password ikiwa 4, complexity: a-z ==> less than 1 second


urefu wa password ikiwa 4, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 4.8 seconds


urefu wa password ikiwa 5, complexity: a-zA-Z ==> 25 seconds


urefu wa password ikiwa 6, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 1 hour


urefu wa password ikiwa 6, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 11 hours


urefu wa password ikiwa 7, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 6 weeks


urefu wa password ikiwa 8, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 5 months


urefu wa password ikiwa 8, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 10 years


urefu wa password ikiwa 9, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 1000 years


urefu wa password ikiwa: 10, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 1700 years


length: 10, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 91800 years

(a-z inasmamia letters only kwa herufi kubwa au ndogo tu)

(a-zA-Z inasmamia letters mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo)

(a-zA-Z0-9 inasmamia letters mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo plus letters)

:biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin:
 
hapo ni kama haujaunganisha numerals and letters, then

urefu wa password ikiwa 4, complexity: a-z ==> less than 1 second


urefu wa password ikiwa 4, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 4.8 seconds


urefu wa password ikiwa 5, complexity: a-zA-Z ==> 25 seconds


urefu wa password ikiwa 6, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 1 hour


urefu wa password ikiwa 6, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 11 hours


urefu wa password ikiwa 7, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 6 weeks


urefu wa password ikiwa 8, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 5 months


urefu wa password ikiwa 8, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 10 years


urefu wa password ikiwa 9, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 1000 years


urefu wa password ikiwa: 10, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 1700 years


length: 10, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 91800 years

(a-z inasmamia letters only kwa herufi kubwa au ndogo tu)

(a-zA-Z inasmamia letters mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo)

(a-zA-Z0-9 inasmamia letters mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo plus letters)

:biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin:

:director: Nimetoka 0
 
kabla mtu hajajaribu kukosoa hesabu zangu, hapa nimetumia mahesabu ya kujaribu kuhack gmail kwa kutumia *name withheld* ambayo inpiga 10,000 tries per sec on a dual core with a 1MB/s bandwith (na yes najua kuwa you cant brute force gmail, this is just an example)
 
kabla mtu hajajaribu kukosoa hesabu zangu, hapa nimetumia mahesabu ya kujaribu kuhack gmail kwa kutumia *name withheld* ambayo inpiga 10,000 tries per sec on a dual core with a 1MB/s bandwith (na yes najua kuwa you cant brute force gmail, this is just an example)

Ila brutus ni zaid ya soft ya kawaida inaweza fanya less zaid ya hivo
 
kweli, nilitaka tu nimwonyeshe mshkaji kuwa kama amepiga password refu, imekulaje kwake :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin:

Hebu na mi niulize hizi software za kuhide mafile zinaficha mafolder au zinayachukua? I mean uki unistall inaondoka nayo mafile au inayaacha?
 
yanarudisha chief-mkwawa ila sio ya kuamini as windows ikija ikawa corrupt kiasi cha kuinstall upya then inakula kwako
 
Last edited by a moderator:
yanarudisha chief-mkwawa ila sio ya kuamini as windows ikija ikawa corrupt kiasi cha kuinstall upya then inakula kwako

kaka hakirudi ki2, ukinunua 4lder lock unapewa na master reset code endapo utasahau code zako, ukiingiza master unaweza kuanza upya with a new password but even with that wanakwambia data zote kwishney. Wana kamsemo kao 'IF YOU FORGET YOUR CODE THEN FORGET YOUR DATA' solution ni Linux ikishindikana na hapo bac just say adios to the data.
 
Last edited by a moderator:
kaka hakirudi ki2, ukinunua 4lder lock unapewa na master reset code endapo utasahau code zako, ukiingiza master unaweza kuanza upya with a new password but even with that wanakwambia data zote kwishney. Wana kamsemo kao 'IF YOU FORGET YOUR CODE THEN FORGET YOUR DATA' solution ni Linux ikishindikana na hapo bac just say adios to the data.

kweli, ila mi nilifikiri anauliza akija uninstall hiyo program (am assuming kuwa ana codes zake) ndo maana nikasema if anything goes wrong (to go by your words) kwishney
 
Hivi karibuni nimesahau password yangu ya application inayoitwa folder lock. mpaka sasa nimeshindwa jinsi ya kureset password ili niweze kurecover my files..niliwahi sikia njia inaitwa brute force ambayo hutumika katika kungundua passwords hasa kama password ni fupi..password yangu nauhakika haikuzidi 16 characters.

Naomba mtu anielimisha niweze kujua jinsi ya kutumia hii brute force au kama kuna njia nyingine ambayo ni rahisi kwa kutumia software nyingine basi anitaarifu...

Mkuu kwa urefu huo wa password kama ulichanganya na namba na alama ni next to impossible kurecover data zako.

Mwamzoni nilipoanza kutumia simu na pc kila kitu nilikuwa naweka lock na password magumu gumu nikijiaminisha nalinda data zangu
Lakini kiukweli nilikuwa nazipoteza kuliko kuzilinda kwa kusahau nenosiri

Ushauri:
Unatakiwa kuangalia unyeti wa data zako kabla ya kuweka lock
Pia kama ni lazima jaribu kutumia nenosiri jepesi kabisa na rahisi kukumbuka likiwa fupi na rahisi kurecover kwa softwares

Utakuta mtu unaweka lipassword gumu kwa kuficha picha zako tu au games......... Ya nini?

Pole sana ndugu next time weka hata jina la demu wako wa kwanza, nahakika huta msahau.....ha haaaaa
 
kweli, ila mi nilifikiri anauliza akija uninstall hiyo program (am assuming kuwa ana codes zake) ndo maana nikasema if anything goes wrong (to go by your words) kwishney

100, 100
 
How many digit number can be formed from the numerals 1,2,3,4,5,and6 without numerals being repeated?hapo tuna guess password kwa kutumia probability,inamaanisha hizo nambari sita hapo juu zinaweza kutoa numerals ngapi,haya twende kwenye math, 1 mara 2 mara 3 mara 4 mara 5 mara 6=720 kwa hiyo namba hizo sita zinaweza kuzalisha numerals 720 tofauti tofauti,Kwa hiyo thats the way hizi programme
zinafanya kazi,Kwa mtu kujaribu namba 720 tofauti tofauti ni kazi sana.
 
hapo ni kama haujaunganisha numerals and letters, then

urefu wa password ikiwa 4, complexity: a-z ==> less than 1 second


urefu wa password ikiwa 4, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 4.8 seconds


urefu wa password ikiwa 5, complexity: a-zA-Z ==> 25 seconds


urefu wa password ikiwa 6, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 1 hour


urefu wa password ikiwa 6, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 11 hours


urefu wa password ikiwa 7, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 6 weeks


urefu wa password ikiwa 8, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 5 months


urefu wa password ikiwa 8, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 10 years


urefu wa password ikiwa 9, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 1000 years


urefu wa password ikiwa: 10, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 1700 years


length: 10, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 91800 years

(a-z inasmamia letters only kwa herufi kubwa au ndogo tu)

(a-zA-Z inasmamia letters mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo)

(a-zA-Z0-9 inasmamia letters mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo plus letters)

:biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin:

Mkuu nafikili muhuliza swali is not an IT GEEK hopefully - amehuliza swali in a lay language na alitegemea kupata majibu in a lay language, sasa aligorithms ulizo weka humu zitamsaidia kivipi kutatuwa tatizo lake - mimi ningetememea umushauri kwamba kuna app.prog fulani ina uwezo wa ku-guess PWD yake, nina hakika watumiaji wa kawaida awahitaji kujuwa what is inside the hood ya program yenyewe au TERAFLOPS za inside ya microprocess wala throughput za media.
 
Hebu na mi niulize hizi software za kuhide mafile zinaficha mafolder au zinayachukua? I mean uki unistall inaondoka nayo mafile au inayaacha?

kuna moja ambayo nilikuwa naijaribu nione, wakati na install ikauliza ivute mafaili yote au iyaache kwenye structure yake ya kawaida
 
brute force inafanya kazi kwa kuguess password. Inajaribu kila password katika username yako. Kwa dakika 1 inaweza jaribu hata password 100 na zaidi tegemea na the way ilivoprogramiwa.

Kwa folder lock lazma iwe ni software imeprogramiwa maalum kwa hio folder lock yako. Na charachter hata 8 tu inaweza chukua zaidi ya siku (kama umesoma probabiliy tunga neno la maneno 8 calculate)

hebu ntajie jina la hio software naweza bahatisha google uchakachuo wake

jina la software ni FOLDER LOCK 7.1
 
hapo ni kama haujaunganisha numerals and letters, then

urefu wa password ikiwa 4, complexity: a-z ==> less than 1 second


urefu wa password ikiwa 4, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 4.8 seconds


urefu wa password ikiwa 5, complexity: a-zA-Z ==> 25 seconds


urefu wa password ikiwa 6, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 1 hour


urefu wa password ikiwa 6, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 11 hours


urefu wa password ikiwa 7, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 6 weeks


urefu wa password ikiwa 8, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 5 months


urefu wa password ikiwa 8, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 10 years


urefu wa password ikiwa 9, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 1000 years


urefu wa password ikiwa: 10, complexity: a-zA-Z0-9 ==> 1700 years


length: 10, complexity: a-zA-Z0-9 + symbols ==> 91800 years

(a-z inasmamia letters only kwa herufi kubwa au ndogo tu)

(a-zA-Z inasmamia letters mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo)

(a-zA-Z0-9 inasmamia letters mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo plus letters)

:biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin: :biggrin:

kushney....daaah
 
Back
Top Bottom