Skillseeker
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 225
- 34
Hivi karibuni nimesahau password yangu ya application inayoitwa folder lock. mpaka sasa nimeshindwa jinsi ya kureset password ili niweze kurecover my files..niliwahi sikia njia inaitwa brute force ambayo hutumika katika kungundua passwords hasa kama password ni fupi..password yangu nauhakika haikuzidi 16 characters.
Naomba mtu anielimisha niweze kujua jinsi ya kutumia hii brute force au kama kuna njia nyingine ambayo ni rahisi kwa kutumia software nyingine basi anitaarifu...
Naomba mtu anielimisha niweze kujua jinsi ya kutumia hii brute force au kama kuna njia nyingine ambayo ni rahisi kwa kutumia software nyingine basi anitaarifu...