Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Heshima mbele wakuu!nilikua naomba kueleweshwa sababu za waajiri wengi hapa kwetu tanzania kupenda kuajiri watu ambao hawajasomea fani zao husika,mfano unakuta nafas ya kaz ilyotangazwa ni ya uhasibu but anaeajiriwa pale ni mtu mwenye shahada ya kilimo,vle vle kazi za bank nimekua nikiona wakiajiriwa watu wenye shahada za sociology,kilimo nk na wkt huo huo graduate wenye fani husika wakiachwa!naomben kuelimishwa kuhusu hli suala wakuu,lmekua likintatiza sana.