Abraham Lincon
Member
- Oct 22, 2010
- 78
- 0
Tafadhali sana wapendwa ningependa kama kuna mwenye kuujua ukweli wa nitakachoandika hapa anisaidie nipate kuujua.
Habari ni kwamba, nimepata kusikia mara kadhaa kwamba unaweza kujua size ya nyeti (uume/uke) wa mtu kwa kumuangalia tu umbo la mwili wake. Kwa mfano mwanaume mrefu anategemewa kuwa na uume mrefu na mwanaume mfupi uume mfupi. Sina tatizo sana kuamini hili kwani angalau kuna logic hapa.
Japokuwa bila shaka lazima kwa sababu kadha wa kadha wapo warefu wenye fupi na wafupi wenye ndefu. Tatizo langu kubwa ni kwa wanawake. Nasikia mwanammke mnene huwa na uke mdogo eti kwa sababu ya nyamanyama zake ambazo eti zinapunguza ukubwa wa k. Kwa upande mwingine mwanamke mwembamba eti huwa na k kubwa!
Jamani naomba tusaidiane katika hili. Ukweli ni upi?
Habari ni kwamba, nimepata kusikia mara kadhaa kwamba unaweza kujua size ya nyeti (uume/uke) wa mtu kwa kumuangalia tu umbo la mwili wake. Kwa mfano mwanaume mrefu anategemewa kuwa na uume mrefu na mwanaume mfupi uume mfupi. Sina tatizo sana kuamini hili kwani angalau kuna logic hapa.
Japokuwa bila shaka lazima kwa sababu kadha wa kadha wapo warefu wenye fupi na wafupi wenye ndefu. Tatizo langu kubwa ni kwa wanawake. Nasikia mwanammke mnene huwa na uke mdogo eti kwa sababu ya nyamanyama zake ambazo eti zinapunguza ukubwa wa k. Kwa upande mwingine mwanamke mwembamba eti huwa na k kubwa!
Jamani naomba tusaidiane katika hili. Ukweli ni upi?