...wana cc...
Nimetoka leo...napata safari(beer) tartiib.... Ila kuna bint yuko pembeni yangu ananikonyeza... Na yupo na mtu wake...
How?
Nilijua wewe na kilaza mwenzio Salok mtakuja huku faster kumpoteza mwenzenu ila nashukuru Salok kaonyesha busara hahahahaaaa hongera kijana....mshauri na Bagah kuwa vya watu noma sana ooooh...fanya namna umpe barmed namba yako imfikie pale mezani...utakua umemaliza...yani walinazi kamanda!ukishindwa iyo ntafte nikupe plan B