Sure, JK tanzania nzima ana watoto kama utitiri, mkwere huyu kwa kifimbo cheza ni balaa. Ni kweli Juzi kati akiwa kakalia kiti alimuoa mtoto wa Megji kwa siri kwa kisingizio cha dini, na mama megji ni kitu cha RA, upo hapoooo!!
CCM ni wachafu kuliko uchafu unaoujua kwamba ni uchafu, tuamke jamani tutafute mabadiliko kwa kasho wandugu nchi inaliwa kinominomi!!! kalagabaho!!:redfaces: