Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Wadau, naomba mnisaidie kujua jinsi fixed charge ambayo Tanesco walikuwa wakilipa kwa Richmond/Dowans.
Kuna uwezekano mkubwa Dowans/Richmond hawakutaja thamani sahihi ya uwekezaji wao ili walipwe zaidi.
Nimeona kwenye kesi ya Dowans/RDVECO kuwa ile mitambo ilinunuliwa kwa $7.5m
Kuna uwezekano mkubwa Dowans/Richmond hawakutaja thamani sahihi ya uwekezaji wao ili walipwe zaidi.
Nimeona kwenye kesi ya Dowans/RDVECO kuwa ile mitambo ilinunuliwa kwa $7.5m