Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 202
Habari wanajamvi,
Jamani wadau kuna mtu anazijua/anazo format zozote za NECTA?
Naomba anisaidie
Jamani wadau kuna mtu anazijua/anazo format zozote za NECTA?
Naomba anisaidie
Ongea na Nyambari Nyangwine aka mawe ya nyamongo, tehJamani wadau kuna mtu anazijua/anazo format zozote za NECTA?
Km ni mwanafunzi unastahahili kucover kila kitu hii style ya kusoma kwa kufuata format za utungaji/uandaaji mitihani ni cancer kwa kizazi kijacho kwa kua product zinazozalishwa kutokana na mfumo huu ndizo tunategemea zije kusimamia/kuchukua hatamu ktk nyanja mbali mbali