tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
nepoteza kumbukumbu...kwa wanaokumbuka naomba tarehe ya ule mkwala wa siku 90 kwa mapacha watatu ili ni-count down.
pia prince wetu ametoa siku 9, naomba countdown yake.
ni kawaida yao kutoa mkwala then wanaingia mitini ila safari hii tupaze sauti zetu sana kukumbushia siku 90 na siku 9 zitakapo-expire.
pia prince wetu ametoa siku 9, naomba countdown yake.
ni kawaida yao kutoa mkwala then wanaingia mitini ila safari hii tupaze sauti zetu sana kukumbushia siku 90 na siku 9 zitakapo-expire.