wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,931
- 3,299
habari zenu jamani, pls aliye na contact za naibu waziri wa kazi makongoro mahanga ani PM, NASIKIA YUPO ARUSHA NAMI NIPO ARUSHA LAKINI KWENYE HII KAMPUNI NINAYOFANYA INTERNSHIP KUNA UBAGUZI WA RANGI (Kwa mfano kuna mwarabu mmoja toka misri ameondoa viti katika kiofisi nilichopewa nipumzike kwa madai kwamba sina haki ya kukalia kiti, yeye ni msitaafu huko nchini kwao na mm ni graduate from school, je kuna yoyote anaweza kutoa msaada nifanyeje katika unyanyasaji huu WA RANGI ninaofanyiwa nikiwa nchini kwangu. PIA GENERAL WORKERS WANAFANYA KAZI KAZI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU, (MACHAFU) NA WAKIKOPLAIN HAWASIKILIZWI. ASANTENI