Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
Habari wana jamiiforum aka great thinkers. Mimi ni kijana mdogo nina miaka 25,sikupata kumuona nyerere uso kwa uso lakini alifariki nikiwa nina ufahamu mkubwa tu wa mambo mazuri aliyofanya katika nchi yetu. Ninaomba mwenye kujua website ambayo nitaweza kupata hatuba zake na kuzisikiliza anijulishe hapa,nimejaribu youtube lakini napata vipande vipande mpaka nakereka.
Tafadhalini naomba msaada wenu.
Tafadhalini naomba msaada wenu.