Nina diploma ya media production iliyo major kwenye radio production licha ya kwamba ninaweza kufanya kazi zote za tv na video. Kazi zote za redio nafanya hasa ukiniweka kuwa programme manager radio yako itatajirika. Nioneni basi wana jf!
Mazunguse, nimekuona na nimekukubali, hata avatar yako ni AKG. Jeshi la kujenga Taifa, wanaanzisha redio, inaitwa Redio Mestin, hawajatangaza nafasi za ajira, lakini unaweza kufuatilia, ila uwe makini sana na ajira za Radio Mbao!Nina diploma ya media production iliyo major kwenye radio production licha ya kwamba ninaweza kufanya kazi zote za tv na video. Kazi zote za redio nafanya hasa ukiniweka kuwa programme manager radio yako itatajirika. Nioneni basi wana jf!
mmh!
Watu wanaangalia avatar, posts, threads, signature, username....! Lol, nahisi na pm wanatamani wangekuwa wanaona .