Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
za week end wandugu;
wajameni, nimeanza kukamata ngawira huku majuu na Mungu akipend nikitia mguu bongo nitaendesha kamashine kangu binafsi ka kwanza maishani mwangu. sasa naomba mnisaudie kuhusu ununuzi wa gari kwa dar manake mambo hayo ya magari mie siyajui kabisa.
wengine wanasema ukienda zanziba utapata kwa bei nafuu zaidi, wengine wanasema ukiagiza kwenye mtandao linachelewa (obvious) na linanyofolewa vifaa bandarini hivo hasara tupu, wengine wanasema nikinunua kwenye show room za bongo, naweza kuchomekewa la wizi au lililofanyiwa usanii wa kubadilishwa taarifa muhimu ili lionekane jipya kumbe choka mbaya, wengine wanasema show room za dar bei mbaya sana. n.k.
sasa ukweli ni upi, mnanishauri nini, niagize, niende zenji ama nilambe hapo hapo show room za bongo?
ushauri tafadhari
wajameni, nimeanza kukamata ngawira huku majuu na Mungu akipend nikitia mguu bongo nitaendesha kamashine kangu binafsi ka kwanza maishani mwangu. sasa naomba mnisaudie kuhusu ununuzi wa gari kwa dar manake mambo hayo ya magari mie siyajui kabisa.
wengine wanasema ukienda zanziba utapata kwa bei nafuu zaidi, wengine wanasema ukiagiza kwenye mtandao linachelewa (obvious) na linanyofolewa vifaa bandarini hivo hasara tupu, wengine wanasema nikinunua kwenye show room za bongo, naweza kuchomekewa la wizi au lililofanyiwa usanii wa kubadilishwa taarifa muhimu ili lionekane jipya kumbe choka mbaya, wengine wanasema show room za dar bei mbaya sana. n.k.
sasa ukweli ni upi, mnanishauri nini, niagize, niende zenji ama nilambe hapo hapo show room za bongo?
ushauri tafadhari