Spider man
Member
- Apr 15, 2012
- 12
- 1
Jaman nawaogopa sana wasichana wenye majini,ila sasa nina demu wangu mwenye majini sa cjui itakuweje na wakat namuogopa ila najkaza ksabun kutokana na yeye kunipenda kwa dhati.
Teh utashangaa unampa vitu masaa mawili haridhiki anakuambia sijatoshekaaaa lol
Hahahaaaa we jiandae kuhudumia zile kitu idadi sawa na ya majini yake....walau moja kwa kila jini...tehteh teh teh teh itakuwa anamajin mengi kwa hali hyo ha ha ha 2takmbiana aiseee,afu nishawah kuambiwa kuwa huyu bnt ana majini 12 sa cjajua niukwel au uongo.
Ngoja cku kati ya hayo majini yake likuombe kiwasheli ndio utaanza kuogopa vizuri sasa...
Itabidi arudi hapa hapa atuadithie kiluchomkuta...Hahahahaaaa sijui atakimbilia wapi
mpeleke kwenye maombi mapema.
Itabidi arudi hapa hapa atuadithie kiluchomkuta...
mkuu hiyo point ina ukweli nini?mana mbona kama imenitokea...masaa 5 mzigoni bado hatoshekiTeh utashangaa unampa vitu masaa mawili haridhiki anakuambia sijatoshekaaaa lol