Muinjilisti
Senior Member
- Dec 20, 2010
- 105
- 52
Pole sana mdogo wangu?
Hivi hivyo vipimo vinasemaga ukweli??? Ukijiangalia unafanana kwa jinsi yoyote ile na baba yako?
Mimi nina experience ambayo siyo nzuri kwenye hayo masuala ya DNA. Ninachokuomba piga moyo konde, kwa kuwa wameshaamua ukapime nenda tu ukapime. Wewe omba kwa Mungu na mambo yote ya mbeleni Mungu atakuwezesha. Na kama inawezekana ukiongea na baba yako, muulize Baba tunaenda kupima, mimi ni mtoto sijui lolote na wala sikuwepo na ufahamu wakati mimba yangu inatungwa. Na pia hatuna uwezo wa kujichagulia wazazi Mungu ndiyo anatuchagulia tuzaliwe wapi. Sasa ikitokea majibu ni negative itakuwaje? Unajua inabidi wakuandae kisaikolojia ili uweze kupokea majibu. Na baba yako kama ana mapenzi ya kweli pamoja naye atakuwa katika wakati mgumu (lakini si kukushinda wewe) akukubali tu kuwa ni mtoto wake either majibu ni positive au negative.
Nina mtoto wa kaka yangu, Kaka yangu alimpa mimba msichana wakati huyo akiwa form IV, akamkataa mtoto moja ya sababu zake ni mama yake alikuwa mwingi wa habari. Mama yetu akaamua kumchukua na kumlea akisema amefanana na sisi. Kwa sasa huyo kaka yangu kaoa muda, binti huyo ana miaka 21, step mother kamlazimisha kaka yangu akapime DNA kwa madai mtoto siyo wake. Na huyo kaka yangu aliamua kuishi na binti yake huyo mara alipoanza kujitegemea. Huyo mtoto kilimuuma sana, na walikuwa wanampenda sana na baba yake na hakuwa na mapenzi na mama yake kabisa. Kipimo kikafanyika, ilichukua majibu miezi sita ndiyo yakatoka na yakawa negative. Hatujui majibu yalichakachuliwa na step mother au la, maana yalichukua muda mrefu wakati kawaida ni wiki 2. Hatujui kama vipimo hivyo ni vya kweli au la! Yule binti hadi leo kachanganyikiwa, kashindwa kuendelea na shule, yaani hayo majibu yake yameharibu maisha yake kabisaa! Pamoja alikuwa anatunzwa na baba yake na ikafikia kiasi bibi yake yaani mama yetu akamchukua akae naye, pamoja na all the councelling za baada ya kuchanganyikiwa bado hajarudi sawa.
Hivyo naelewa ni situation gani unayo, lakini isikuharibie maisha yako, na uzuri wewe umelelewa kwa upande wa mama. Kwamba uko karibu na familia ya mama. Mungu bado anakuwazia yaliyo mema, kama itakuwa negative si wewe peke yako uliyepata mitihani hiyo, wengine wazazi wao wote wawili hawawafahamu, walisikia tu kuwa walikufa. JIPE MOYO, SONGA MBELE
Hivi hivyo vipimo vinasemaga ukweli??? Ukijiangalia unafanana kwa jinsi yoyote ile na baba yako?
Mimi nina experience ambayo siyo nzuri kwenye hayo masuala ya DNA. Ninachokuomba piga moyo konde, kwa kuwa wameshaamua ukapime nenda tu ukapime. Wewe omba kwa Mungu na mambo yote ya mbeleni Mungu atakuwezesha. Na kama inawezekana ukiongea na baba yako, muulize Baba tunaenda kupima, mimi ni mtoto sijui lolote na wala sikuwepo na ufahamu wakati mimba yangu inatungwa. Na pia hatuna uwezo wa kujichagulia wazazi Mungu ndiyo anatuchagulia tuzaliwe wapi. Sasa ikitokea majibu ni negative itakuwaje? Unajua inabidi wakuandae kisaikolojia ili uweze kupokea majibu. Na baba yako kama ana mapenzi ya kweli pamoja naye atakuwa katika wakati mgumu (lakini si kukushinda wewe) akukubali tu kuwa ni mtoto wake either majibu ni positive au negative.
Nina mtoto wa kaka yangu, Kaka yangu alimpa mimba msichana wakati huyo akiwa form IV, akamkataa mtoto moja ya sababu zake ni mama yake alikuwa mwingi wa habari. Mama yetu akaamua kumchukua na kumlea akisema amefanana na sisi. Kwa sasa huyo kaka yangu kaoa muda, binti huyo ana miaka 21, step mother kamlazimisha kaka yangu akapime DNA kwa madai mtoto siyo wake. Na huyo kaka yangu aliamua kuishi na binti yake huyo mara alipoanza kujitegemea. Huyo mtoto kilimuuma sana, na walikuwa wanampenda sana na baba yake na hakuwa na mapenzi na mama yake kabisa. Kipimo kikafanyika, ilichukua majibu miezi sita ndiyo yakatoka na yakawa negative. Hatujui majibu yalichakachuliwa na step mother au la, maana yalichukua muda mrefu wakati kawaida ni wiki 2. Hatujui kama vipimo hivyo ni vya kweli au la! Yule binti hadi leo kachanganyikiwa, kashindwa kuendelea na shule, yaani hayo majibu yake yameharibu maisha yake kabisaa! Pamoja alikuwa anatunzwa na baba yake na ikafikia kiasi bibi yake yaani mama yetu akamchukua akae naye, pamoja na all the councelling za baada ya kuchanganyikiwa bado hajarudi sawa.
Hivyo naelewa ni situation gani unayo, lakini isikuharibie maisha yako, na uzuri wewe umelelewa kwa upande wa mama. Kwamba uko karibu na familia ya mama. Mungu bado anakuwazia yaliyo mema, kama itakuwa negative si wewe peke yako uliyepata mitihani hiyo, wengine wazazi wao wote wawili hawawafahamu, walisikia tu kuwa walikufa. JIPE MOYO, SONGA MBELE