Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
wana jamii nikianza kuwaza issue za ajira yaani nakosa raha kabisa hasa pale napoona vijana wamefaulu vizuri alafu bado wanasaga kisisgino na bahasha zao mikononi....mimi GPA yangu iko chini ya 3.0, natamani kuomba kazi ila nakata tamaa....sasa haya maisha mpaka lini? hali ni ngumu mtaani. Naomba ushauri wana jamii, nifanyeje?