Kijana lazima utakuwa na pepo la uasherati na tamaa za kingono tu!!!:frusty:Wababa msaidieni kijana ila sijui umri wake unaruhusu au pepo la uasherati ndio linamsumbua
hi jf
kuna msichana mmoja mrembo sana!ana umbo zuri,kiukweli kaumbika.nimempenda.sasa kazi iko hapa,kumwambia nampenda imekua ishu maana hua tukikutana tunaongea mambo ya kwaida tu.
Mawazo!
poleee sanaa shauri...ilaa unaonekanaa unamtamani cse ni mzurii huyo dadaa.[nipe number yake ntakusaidia kumwambia:smile-big: utaniii tu...JARIBU KUONYESHAA ISIAA ZAKO KWA VITENDO ZAIDI,MTOE OUT...MNUNULIE SM GIFT.ilaa inaonekanaa still young cse huwezi kumpenda mtu usimwambie isia zako tatizo lako unaogopaa KUPIGWAA KIBUTI...usijaliii mwanaume rijali lazimaa awee na vibutiii vya kutoshaa.wee eleza isia zako akikutosaa chapaa lapaaa kuliko kuumiaaahi jf
kuna msichana mmoja mrembo sana!ana umbo zuri,kiukweli kaumbika.nimempenda.sasa kazi iko hapa,kumwambia nampenda imekua ishu maana hua tukikutana tunaongea mambo ya kwaida tu.
Mawazo!
hi jf
kuna msichana mmoja mrembo sana!ana umbo zuri,kiukweli kaumbika.nimempenda.sasa kazi iko hapa,kumwambia nampenda imekua ishu maana hua tukikutana tunaongea mambo ya kwaida tu.
Mawazo!
hi jf
kuna msichana mmoja mrembo sana!ana umbo zuri,kiukweli kaumbika.nimempenda.sasa kazi iko hapa,kumwambia nampenda imekua ishu maana hua tukikutana tunaongea mambo ya kwaida tu.
Mawazo!