MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
wawili.Mhaya na Mmasai
wewe umefanyaga na wangapi??
Ndiyo maana, hivi ule umri wa wachache ulitoka lini?
wawili.Mhaya na Mmasai
wewe umefanyaga na wangapi??
siwezi/sitaki/sidiriki kumsaliti my bf.
hapa nazungumzia kulala na my bf gesti house na sio njemba ni njemba
Hahaha.... kumbe ulikuwa ukimaanisha hivyo? Sasa kuna gest gani nzuri pale Monduli? Au unapapenda kwa kuwa huwa kuna nyama za mbuzi huko? Basi usijali, ni-PM sasa tumalize....sio wewe Konakali Mmasai
if ni wewe kwa nini hutaki twende Monduli Jpili kwa pikipiki nikikuendesha mimi unalazimishia gari wakati linabaki mjini?
Kanyoo tooi nagol? Naake nanu taake ele....! Aanoyr tooi ooleng' mamaaay....!koma!my heart is branded Mmasai
Merytina fanya mpango ulale hotel, siku hizi kahotel kazuri tu sh 50000 pungufu hadi 20000 inategemea na maeneo, huko hutasikia kelele wala miguno, pia jifunze ukisafiri uwe na vitabu vya kusoma, au beba laptop yako ukiwa idle unaingia JF tu, mie nikisafiri ndio utaniona sibanduki humu mpaka saa tisa usiku
rudi kituo kimoja , then the opposite is true mitaa hiyohiyo.No!sikupi jina kwani in every two wiks lazima niwepo
mbona zipo kibao za elfu 10000