- Thread starter
- #81
Mwambie tu kwamba unataka ubadilishe venue iwe guest house. Au mwambie akutoe out then nendeni kwenye hotel kubwa na kama hamna watoto mwombe mlale huko huko ili mtwangane vizuri.
Pole bibie kwa kuteseka na hamu ya kubanjuliwa guest house.
Nilipokuwa nachagua BF wa kuwa mume sikutaka kabisa mtu wa dunia bali mcha mungu na huyu ndio waridi langu.Leo hii nianze kumpeleka gesti hapana atanionaje?
JF mutaponza nionekane mchafu buree