Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Marytina unazidi kunifanya nisikusahau kwa ubunifu wako....! Kama swala ni gesthouse naomba uni-PM, maana hata mi nimekuwa nikitamani hilo lakini nimekuwa pia nikiandamwa na wasiwasi kumweleza mwenzangu kama wewe.... Hivyo naomba tuwasiliane ili tutimize haja yetu pamoja....! Secrecy must be guaranteed...!Home: Geneva of Africa,mama mchagaa.baba nmgoni.
Nimekuwa nikisafiri kati ya DSM na ARUSHA.Kuna nyakati nalazimika kulala gesti house.Huko gesti husikia vilio vya maraha,kwenye corrido hupishana na waliokumbatiana yaan mihemuko hunijaa.
Hii imekuwa ugonjwa yaan once nikifungua chumba cha gesti huwaza 'maraha' nateseka as my BF is not there.
Kimbembe:My BF/Mchumba/mume ni mtu wa dini sana nashindwa/naogopa kumwambia ninaham tufanyie GESTI kwani atakuwa ananiwazia vibaya niwapo safarini.
Je nimwambie (twende gesti) ,IS THERE ANY ONE ELSE KILA ANAPOINGIA GESTI AKILI HUAMIA CHINI au nina matatizo?
Note: Masharti na vigezo kuzingatiwa...!