Yeye si anakupatia ile kitu! Nayo ni kazi kubwa dada yangu. Kama anapenda kuendesha gari mwachie lakini nae lazima alipe pale kunako 6x6 kwa kupitia kona zote.
well said Gaga, yaani kuna watu wanapenda sana kujishebedua humu JF, yaani mi sionagi umuhimu wa mtu kuanza kusema mara mie nimesoma, mara nna gari mara nafanya kazi nzuri blah blah kibao. Mi nnachijua kua kama mtu anakuja kuomba ushauri hapa baada ya ushawishi wake kushindikana, yaani mtu unajifanya unampenda then unakuja kumwaga upupu hapa? hata siku moja hajawai kumwambia tabia hii inamkera then unkuja kuomba ushauri, yaani inakera some time bana.Hapo dada unamkosea mwenzako kama unampenda kiasi cha kusema ni husband to be inakuwaje usikie uchungu kwenye kitu kama hicho? mweke chini umuelezee unavyojisikia kwamba unapenda mshee cost hasa kama hizo za mafuta, nafikiri atakuelewa tu, na kama kipato chake ni kidogo mwache amalize shule uone, unless humpendi unataka ndoa tu. usijiumize sababu unataka kuolewa tu, humu ndoani nako kwa moto tu, usikimbilie kama hauko tayari
Dada Carmel umenena vyema hana lolote huyu zaidi ya kuja ku show off tu hapa.ningekuwa wewe ningetumia hata ID lakini unavyokuja live kabisa humu namna hiyo mshkaji anaweza kukatiza humu akakuta hii mada inadiskasiwa bila yeye kupewa malalamiko rasmi n that can be so damaging, imagine mimi nakufahamu long time since msalato na udsm, what about his friends wakiona wakamshtue? Halafu, life is all about kusaidiana hasa mnapokuwa mnataka kujenga future pamoja, yawezekana pia wewe ndo umejionyesha uko juu kwa kuwa una masters na kazi nzuri na gari, sasa mshkaji akaamua kujiachia. kama kweli unataka kuishi na huyo jamaa this is the time for you to set the standards and discuss together and agree. Haina haja ya kuvunja uhusiano kwa kuwa tu anatumia gari yako, you can sit down and discuss how to share the cost. All the best gal.
ningekuwa wewe ningetumia hata ID lakini unavyokuja live kabisa humu namna hiyo mshkaji anaweza kukatiza humu akakuta hii mada inadiskasiwa bila yeye kupewa malalamiko rasmi n that can be so damaging, imagine mimi nakufahamu long time since msalato na udsm, what about his friends wakiona wakamshtue? Halafu, life is all about kusaidiana hasa mnapokuwa mnataka kujenga future pamoja, yawezekana pia wewe ndo umejionyesha uko juu kwa kuwa una masters na kazi nzuri na gari, sasa mshkaji akaamua kujiachia. kama kweli unataka kuishi na huyo jamaa this is the time for you to set the standards and discuss together and agree. Haina haja ya kuvunja uhusiano kwa kuwa tu anatumia gari yako, you can sit down and discuss how to share the cost. All the best gal.
Habari zenu wana Jamii forums, kwanza niwatakie Heri ya pasaka. Mimi ni msichana nina elimu yangu nzuri ya masters na kazi nzuri pia ila sijaolewa. Nimetokea kukutana na kijana ambaye ni polisi na anasoma kujiendeleza kielimu yani ngazi ya degree. Toka nimekuwa nae kuna tabia imekuwa inanikera ila najitahidi kumvumilia kutafuta ndoa. Mimi nina gari yeye hana hivyo tunapokutana anataka aendeshe yeye gari na anaanzisha safari zake nyingi na hela ya mafuta haweki anatumia mafuta niliyoweka ambayo yako ndani ya bajeti na mnavyojua bei ya mafuta inapanda kila siku. Naogopa kumwambia ataniona namnyanyasa sababu yeye hana gari. Naombeni ushauri wenu nimchakachue nitafute mwingine Au nimweleze ukweli na navyoboreka au nimvumilie wakati naumia naona kama nachunwa.
:alien:hahahaha ushauri upi unataka wewe zaidi ya ku show off tu hapa.Nafahamu long tm km hyo sio ID kwani kuomba ushauri vibaya, we toa maon pita wache na wenzio watoe yao.
Habari zenu wana Jamii forums, kwanza niwatakie Heri ya pasaka. Mimi ni msichana nina elimu yangu nzuri ya masters na kazi nzuri pia ila sijaolewa. Nimetokea kukutana na kijana ambaye ni polisi na anasoma kujiendeleza kielimu yani ngazi ya degree. Toka nimekuwa nae kuna tabia imekuwa inanikera ila najitahidi kumvumilia kutafuta ndoa. Mimi nina gari yeye hana hivyo tunapokutana anataka aendeshe yeye gari na anaanzisha safari zake nyingi na hela ya mafuta haweki anatumia mafuta niliyoweka ambayo yako ndani ya bajeti na mnavyojua bei ya mafuta inapanda kila siku. Naogopa kumwambia ataniona namnyanyasa sababu yeye hana gari. Naombeni ushauri wenu nimchakachue nitafute mwingine Au nimweleze ukweli na navyoboreka au nimvumilie wakati naumia naona kama nachunwa.
Dada Carmel umenena vyema hana lolote huyu zaidi ya kuja ku show off tu hapa.
hebu nisome vizuri utanielewa sio unakurupukia mambo wewemtu anaomba msaada wa mawazo wewe unasema ana-show off..wewe mbona hujaleta visa vyako..tujaribu kujadili kwa ustaarabu..leo kwake kesho kwako..
Hapo dada unamkosea mwenzako kama unampenda kiasi cha kusema ni husband to be inakuwaje usikie uchungu kwenye kitu kama hicho? mweke chini umuelezee unavyojisikia kwamba unapenda mshee cost hasa kama hizo za mafuta, nafikiri atakuelewa tu, na kama kipato chake ni kidogo mwache amalize shule uone, unless humpendi unataka ndoa tu. usijiumize sababu unataka kuolewa tu, humu ndoani nako kwa moto tu, usikimbilie kama hauko tayari
Ushauri wako ni mzuri, unaonekana unachanganua kwa akili sana.kabila lake ni mpare?
Habari zenu wana Jamii forums, kwanza niwatakie Heri ya pasaka. Mimi ni msichana nina elimu yangu nzuri ya masters na kazi nzuri pia ila sijaolewa. Nimetokea kukutana na kijana ambaye ni polisi na anasoma kujiendeleza kielimu yani ngazi ya degree. Toka nimekuwa nae kuna tabia imekuwa inanikera ila najitahidi kumvumilia kutafuta ndoa. Mimi nina gari yeye hana hivyo tunapokutana anataka aendeshe yeye gari na anaanzisha safari zake nyingi na hela ya mafuta haweki anatumia mafuta niliyoweka ambayo yako ndani ya bajeti na mnavyojua bei ya mafuta inapanda kila siku. Naogopa kumwambia ataniona namnyanyasa sababu yeye hana gari. Naombeni ushauri wenu nimchakachue nitafute mwingine Au nimweleze ukweli na navyoboreka au nimvumilie wakati naumia naona kama nachunwa.
Habari zenu wana Jamii forums, kwanza niwatakie Heri ya pasaka. Mimi ni msichana nina elimu yangu nzuri ya masters na kazi nzuri pia ila sijaolewa. Nimetokea kukutana na kijana ambaye ni polisi na anasoma kujiendeleza kielimu yani ngazi ya degree. Toka nimekuwa nae kuna tabia imekuwa inanikera ila najitahidi kumvumilia kutafuta ndoa. Mimi nina gari yeye hana hivyo tunapokutana anataka aendeshe yeye gari na anaanzisha safari zake nyingi na hela ya mafuta haweki anatumia mafuta niliyoweka ambayo yako ndani ya bajeti na mnavyojua bei ya mafuta inapanda kila siku. Naogopa kumwambia ataniona namnyanyasa sababu yeye hana gari. Naombeni ushauri wenu nimchakachue nitafute mwingine Au nimweleze ukweli na navyoboreka au nimvumilie wakati naumia naona kama nachunwa.