3squere JF-Expert Member Aug 2, 2011 925 181 Nov 21, 2011 #1 Jamaa kaulizwa kuhusu alsababu kajikanyaga we inaendelea
Lambardi JF-Expert Member Feb 7, 2008 16,468 17,312 Nov 21, 2011 #2 Nasikia jamaa anabana sana matumizi yasiyo ya lazima na mjamaa sana!!!!
3squere JF-Expert Member Aug 2, 2011 925 181 Nov 21, 2011 Thread starter #3 Jamaa na methali ambazo azina vichwa wala mguu ata kuongea shida
3squere JF-Expert Member Aug 2, 2011 925 181 Nov 21, 2011 Thread starter #4 Eti kasema anataka repot kutoka kambi zote wakimbizi na iziwe na zaidi ya page 2
3squere JF-Expert Member Aug 2, 2011 925 181 Nov 21, 2011 Thread starter #5 Swali sasa hivi mandamano vp manayamezuiwa kwa ajili ya al shababu
3squere JF-Expert Member Aug 2, 2011 925 181 Nov 21, 2011 Thread starter #6 Jamaa kajikanyaaga weee kajibu eti kwenye mandamano watu wanafunja sheria ndo maana tunawasiwasi na al shababu
Jamaa kajikanyaaga weee kajibu eti kwenye mandamano watu wanafunja sheria ndo maana tunawasiwasi na al shababu
M Mbopo JF-Expert Member Jan 29, 2008 2,532 413 Nov 22, 2011 #7 3squere said: Jamaa kajikanyaaga weee kajibu eti kwenye mandamano watu wanafunja sheria ndo maana tunawasiwasi na al shababu Click to expand... Kiswahili cha kimasai umekileta humu!
3squere said: Jamaa kajikanyaaga weee kajibu eti kwenye mandamano watu wanafunja sheria ndo maana tunawasiwasi na al shababu Click to expand... Kiswahili cha kimasai umekileta humu!