OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Naodha aliyekuwa akiendesha meli ya MV Bukoba iliyopinduka na kuzama na kuua zaidi ya watu 800 katika ziwa victoria mwaka 1996 Captain Jumanne Rume Mwiru amefariki Dunia
Captain Jumanne Rume Mwiru Alifariki dunia usiku wa kuamkia jana allfajiri ,wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa Bugando ,
Captain Jumanne Rume Mwiru Alifariki dunia usiku wa kuamkia jana allfajiri ,wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa Bugando ,