snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,637
satelite kamata na hii!Leo sijisikii kusema mengi, ila cha msingi kumbuka yale mambo mazuri yaliyokuvutia kwa mtarajiwa wako na yale ambayo yeye pia alivutiwa na wewe na akakupenda kwa hayo, myadumishe na kuyaimarisha maana haya ndiyo msingi wa upendo wenu na ndoa yenu.
Uvumilivu, kuheshimiana, kusaidiana, kuaminiana, kushirikishana, kutokusikiliza majungu ya watu na ndugu nk hayo huja kujaziliza tu hilo jambo nililolitaja hapo juu.
Nakutakia ndoa njema yenye upendo, furaha, mafanikio na isiyochakachulika!
All the best.
Last edited by a moderator: