Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 1,988
- 1,175
Wana JF,
Mimi ni mtanzani Halisi na nimempenda msichana toka Moshi kibosho ILA naambiwa na wazazi wangu kuwa wasichana watokao huko ni hatari.Naambiwa si sahihi kuoa msichana toka kibosho INGAWA sababu sipewi.Nisaidieni.
Mimi ni mtanzani Halisi na nimempenda msichana toka Moshi kibosho ILA naambiwa na wazazi wangu kuwa wasichana watokao huko ni hatari.Naambiwa si sahihi kuoa msichana toka kibosho INGAWA sababu sipewi.Nisaidieni.